Mkuu pole sana, jikung'unte vumbi usogee mbele.Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Duh!Sababu ya kufukuzwa mpaka Sasa sijui boss alianza kunichukia bila sababu Kwa makosa madogo madogo Mungu amlaani huko alipo
Tatizo lako ulikuwa chawa mbona kawaida sana...sisi wengine tulishasepeshwa na tukakomaa mtaani sana sahivi ninavyokwambia aliyekuwa boss wangu ananikopa sana tu.Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Mimi nakushauri kuwa USITHUBUTU KUSOGELEA CHAKULA MAHALA POPOTE TANGIA SAA HII.Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Ilinitokeaga nikawa nawaza hvi kama wewe lakini Mungu wangu mwema sana alini vusha pakubwa sanaRoho inaniuma kampuni ilikua kubwa sana Ina branches Kila mkoa nitapata wapi kazi nzuri zaidi ya hiyo
Waeleze hasa wale CIVIL SERVANTS!Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
2017 yalinikuta maumivu hayo. Tena nikiwa nje ya nchi. Hata hamu ya kula haikuwepo, Nilikonda nkawa mwembamba sana kwa siku chache sana. Lakn now nnafuraha cz nna company ya Contractor upande wa Mechanical and Electrical. Japo cjaanza kupata tenda lakn moyon nina amani.Habari zenu ndugu nimepata experience mpya sikujua kama kufukuzwa kazi Kuna uma kuliko maumivu ya mapenzi ni week Sasa tangu boss anifukuze ofisini kwake siwezi hata kula
Ushauri wenu una hitajika nifanyaje niwe sawa na wale waliopitia Hali kama hii tupeni uzoefu wenu mlivuka vipi
Asante
Wewe ni me au ke,kuna ofsi flani mkoa tanga,muheza wanatafta cashier wa kike kama uko wilaya hiyo nichek nikuunganishe nao.Nipo napambana na cheti changu kama una connection nisaidie hata ya cashier
Dah mwanaumeWewe ni me au ke,kuna ofsi flani mkoa tanga,muheza wanatafta cashier wa kike kama uko wilaya hiyo nichek nikuunganishe nao.
Sijakuelewa mkuuMungu akusaidie ila kama makosa basi lolote likukute
NapokeaUtapata kazi nyingine kabla yamwezi 12 kuisha👈
Nichek kwenye no. yangu babeDaddy ulikuwa kimya sana toka jana