Maumivu ya wana Yanga kwakunyimwa goli ni nusu tu ya maumivu wanayopitia wananchi wanapoibiwa kura na CCM

Maumivu ya wana Yanga kwakunyimwa goli ni nusu tu ya maumivu wanayopitia wananchi wanapoibiwa kura na CCM

Lengo ni kuingiza mpira kwenye sio wale wa waamuzi wenu kutoka tanga au mbeya haujavuka twende kati!
Unamaana wewe hukuona mpira umevuka mstari?lkn huku si sehemu yake twende kwenye sports arena
 

Attachments

  • BDA445C8-E798-47E1-8978-50CEA0ABD694.jpeg
    BDA445C8-E798-47E1-8978-50CEA0ABD694.jpeg
    741.6 KB · Views: 1
Mods, sikufurahishwa na mada yangu kuichanganya na mada za mrengo wa kisiasa, uchaguzi sijui uchungu wa wa kura, huko hawajui idadi ya wanachama wao hai ni wangapi?
 
Maumivu ya wana Yanga yanaweza yakawa maumivu yanayogusa wananchi wenye itikadi mbalimbali kisiasa na dini.

Kwa wale mashabiki wa Yanga ambao pia ni wanachama wa CCM napenda kuwaambia maumivu waliyonayo kwa mwamuzi kutokutenda haki ni nusu ya maumivu waliyonayo wananchi wanapoibiwa kura.

Mapungufu ya mwamuzi yanapelekea Mamelody kwenye nusu fainali wakifahamu fika kwamba haikuwa haki yao..ndicho wabunge wengi na hata Rais anavyofika madarakani kinyume cha sheria.

Tunapojadili haki tuanze kuyajadili maumivu ya kukosekana haki.......
Yani yule Refa nikikutana nae wallah ama zake ama zangu.
Siwezi kupata presha hadi kuwekewa dripu kwa sababu ya upuuzi wa yule refa halafu nikutane nae nimuache mshenzi sana
 
Mods, sikufurahishwa na mada yangu kuichanganya na mada za mrengo wa kisiasa, uchaguzi sijui uchungu wa wa kura, huko hawajui idadi ya wanachama wao hai ni wangapi?
Hai kivipi??

Yaani uanachama umekuwa - digitalized halafu hai wangapi isijulikane??

Yaani nyie watu inakuwaje viongozi wenu wanawageuza kama mifugo yao Kwa kuwalisha hoja za kiuongo Kila siku??
 
Back
Top Bottom