Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Hakika mtu yule alikuwa mwovu na kwa kufa kwake Taifa lilitakasika.
Hiki kitabu kitanunuliwa na mafisadi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa, vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mashoga, wapigaji
 
Hiki kitabu kitanunuliwa na mafisadi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa, vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mashoga, wapigaji
Hakiwezi kuknunuliwa na waabudu mizimu, wafuasi wa lile shetani la Chato na walinda legacy waliyoachiwa ya matusi.
 
Hakiwezi kuknunuliwa na waabudu mizimu, wafuasi wa lile shetani la Chato na walinda legacy waliyoachiwa ya matusi.
Lakini kinunuliwe na vilaza..?? Wafoji vyeti.. siyo??
 
Takukuru wa wa chunguze hao waandishi Kama hawajala rushwa na aliyewalipa naye ajulikane,siyo kwa aibu hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…