Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye vyoo vya uswahilini wanachambiaNitakipataje?
Ebu kitafuteYaani hapa umehamasisha watu wakitafite na kukisoma
Nchi imepigwa mnadaHongera sana kwa utafiti wako ulioufanya ukiwa unaharisha,huku tumbo liigoma kukuachia.
Hakika mtu yule alikuwa mwovu na kwa kufa kwake Taifa lilitakasika.
Hiki kitabu kitanunuliwa na mafisadi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa, vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mashoga, wapigaji
Imethibitika Sasa rasmi kwamba kijitabu kinachoitwa I'm the State kilichoandaliwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli na legacy yake mauzo yake yamedoda mtaani baada ya kupuuzwa na Watanzania.
Hao waandishi uchwara walishaonywa mara nyingi kwamba hamna nguvu wa pesa itakayomchafua Magufuli, Watanzania siyo vilaza kama watu wa ufipa walivyo wanajua yupi ni kondoo na yupi ni mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo.
Hao waandishi vilaza wanajua fika legacy ya Magufuli ipo kila mahali, baharini na nchi kavu, angani na aridhini, bungeni na serikalini na inaendelea kwa kasi ya ajabu.
Kweli kabisaHiki kitabu kitanunuliwa na mafisadi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa, vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mashoga, wapigaji
Inasikitisha sanaNa kwa upigwaji mnada huu wa bandari , kitabu ndiyo kitadoda kabisaaa
Hakiwezi kuknunuliwa na waabudu mizimu, wafuasi wa lile shetani la Chato na walinda legacy waliyoachiwa ya matusi.Hiki kitabu kitanunuliwa na mafisadi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa, vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mashoga, wapigaji
Endelea kuamini hivyo chiefHakika mtu yule alikuwa mwovu na kwa kufa kwake Taifa lilitakasika.
Lakini kinunuliwe na vilaza..?? Wafoji vyeti.. siyo??Hakiwezi kuknunuliwa na waabudu mizimu, wafuasi wa lile shetani la Chato na walinda legacy waliyoachiwa ya matusi.
[emoji38][emoji38][emoji38]Lakini kinunuliwe na vilaza..?? Wafoji vyeti.. siyo??
Mfoji vyeti PhD fake keshajifia zake huko, sasa atanunuaje kitabu!?Lakini kinunuliwe na vilaza..?? Wafoji vyeti.. siyo??
Hata bila kuchunguzwa hao wanajulikana wanamtumikia shetaniTakukuru wa wa chunguze hao waandishi Kama hawajala rushwa na aliyewalipa naye ajulikane,siyo kwa aibu hiyo.
Kwa hiyo wasubiri kiyama.Hata bila kuchunguzwa hao wanajulikana wanamtumikia shetani
Teh teh!!Mfoji vyeti PhD fake keshajifia zake huko, sasa atanunuaje kitabu!?
Teh teh!!Mfoji vyeti PhD fake keshajifia zake huko, sasa atanunuaje kitabu!?