Kuiona pepo lazima ufe, na Yesu hapo anasema "...makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika..." Nini maana yake?Wewe Bibi acha kupotosha ,unaqoute kimstari kimoja bila kujua context nzima ya hiyo hoja ya makahaba na watoza ushuru ,yesu alikuwa anazungumza kwa mifano ,hao makahaba na watoza ushuru waliotubu na kuamini wataiona pepo! Ina maana kwenye dini yenu islam watenda dhambi wakija kutubu Mungu hawasamehi?
Kuiona pepo lazima ufe, na Yesu hapo anasema "...makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika..." Nini maana yake?
Toba ndiyo msingi mkuu wa dini, na toba ya Kiislam si lazima imwagwe damu ya mtu kumfanya laana.
Toba Kiislam ni moja kwa moja, Mja na Muumba wake, hakuna dalali.
Kwani hauna mwanaume ?mpaka utake picha yangu we mbibi ,mchawi mkubwa.!weka picha acha kuongea kama mama, we sikidume, weka picha basi!
NdioWe mtoto usharudi shule??
Shauri yakounaangalia episode ya nagpi ya movie?
usichanganye movie na real life!
Weka picha yako tafadhari kabla ya kuanza kutoa ushauri wetu.Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi jamani, mbona mnanichanganya?
Je ni kweli mavazi ya kikahaba yanamfanya msichana kutopata mume?
Mbona wanawake wanaokaa uchi wameolewa sana mpaka na kuacha na kuolewa mara ya pili? Je, kupata ndoa ni lazima uvae mavazi kama staha?
Skia hii:
Shouger: Money Penny, nimeenda kuombewa kanisani nikaambiwa kupata mume nibadilishe mavazi nayovaa!
Money Penny: Kwani unavaa mavazi gani?
Shouger: Navaa suruali, skirt fupi, gauni za kuni shape, skirt ndefu, leggings, nikaambiwa nivue hayo mavazi ni ya kikahaba ndio maana wanaume wanaonifuata kama mvua, lakini hawako serious wanakuja kunichezea na kukimbia na mimi nataka kuingia kwenye ndoa sasa!
Lakini money penny mbona kuna makahaba wanavaa ovyo zaidi yangu lakini waliolewa, wakaolewa, na kuolewa na wameolewa hata zaidi ya mara 4? kwani shida ni nini wakati mimi sivai kama wao?
Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi? ina maana mavazi ya kikahaba ndio yananikosesha kupata mume?
Haya njooni mumjibu mwenzenu na kumuongezea akili.
Kuolewa mara nne nishida pia ujueKwani mavazi ya kikahaba ni yapi jamani, mbona mnanichanganya?
Je ni kweli mavazi ya kikahaba yanamfanya msichana kutopata mume?
Mbona wanawake wanaokaa uchi wameolewa sana mpaka na kuacha na kuolewa mara ya pili? Je, kupata ndoa ni lazima uvae mavazi kama staha?
Skia hii:
Shouger: Money Penny, nimeenda kuombewa kanisani nikaambiwa kupata mume nibadilishe mavazi nayovaa!
Money Penny: Kwani unavaa mavazi gani?
Shouger: Navaa suruali, skirt fupi, gauni za kuni shape, skirt ndefu, leggings, nikaambiwa nivue hayo mavazi ni ya kikahaba ndio maana wanaume wanaonifuata kama mvua, lakini hawako serious wanakuja kunichezea na kukimbia na mimi nataka kuingia kwenye ndoa sasa!
Lakini money penny mbona kuna makahaba wanavaa ovyo zaidi yangu lakini waliolewa, wakaolewa, na kuolewa na wameolewa hata zaidi ya mara 4? kwani shida ni nini wakati mimi sivai kama wao?
Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi? ina maana mavazi ya kikahaba ndio yananikosesha kupata mume?
Haya njooni mumjibu mwenzenu na kumuongezea akili.
Ndo ukweli huo boss muda wake ukifika lazima usemwekha!
Brother K..cc FutuhiMsitudanganye hapa, huko kanisani si ndiyo mnafundishwa kuwa kahaba ndiyo wa kwanza kwenda mbinguni?
Mathayo 21:31
..Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Sasa kwa mafunzo hayo ya kwenye biblia nani akukataze ukahaba kanisani? Kwani hatuwaoni mnavyovaa mkienda makanisani?
Msitudhani hapa JF sote tu wajinga kama nyinyi mnaofanya ukahaba eti mtatangulia ufalme wa Mungu!
Au biblia ilimaanisha kwa ukahaba mtakufa mapema? Maana utaendaje kwenye ufalme wa Mungu kabla hujafa? Fikiri.
DuBrother K..cc Futuhi
Na bado watu Kila siku wanapasha viporo na tunachanga michangoKuolewa mara nne nishida pia ujue
Mwambie ugali mchicha uliofunikwa huwa wamoto ni mtamu kuliko wali uliopowa
Kwani hauioni hapo Kwa dpWeka picha yako tafadhari kabla ya kuanza kutoa ushauri wetu.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Pole Sana aliekuzaa nadhani alikutupa chooni wakakuokota, imebaki na Afya ya akiliKwani hauna mwanaume ?mpaka utake picha yangu we mbibi ,mchawi mkubwa.!
Sionyeshi picha Kwa makahaba.
Biblia unayosoma umeandika mwenyewe au?! Mbona naona kama biblia ulionayo ya ma free masonKuiona pepo lazima ufe, na Yesu hapo anasema "...makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika..." Nini maana yake?
Toba ndiyo msingi mkuu wa dini, na toba ya Kiislam si lazima imwagwe damu ya mtu kumfanya laana.
Toba Kiislam ni moja kwa moja, Mja na Muumba wake, hakuna dalali.
Fanya wewe kazi hiyo.Biblia unayosoma umeandika mwenyewe au?! Mbona naona kama biblia ulionayo ya ma free mason
Soma NIT, Learning Translation, KJV, NKJV
Acha kuchafua wakristo na wewe ninani kazi kuona dini za wengine ni upotolo mtu mzima ila unajitoa ufahamu usifanye heshima yako ishuke kisa kujiona kahaba tukizungumzia na ushoga asilimia 95% ni dini yenu utakuta mwajuma,asha,ushoga juma ,hamisi,na wengine wengi ndio wafumuliwa marinda eti mnasema ni suna ila umewahi kutuona tukiwahukumu??Msitudanganye hapa, huko kanisani si ndiyo mnafundishwa kuwa kahaba ndiyo wa kwanza kwenda mbinguni?
Mathayo 21:31
..Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Sasa kwa mafunzo hayo ya kwenye biblia nani akukataze ukahaba kanisani? Kwani hatuwaoni mnavyovaa mkienda makanisani?
Msitudhani hapa JF sote tu wajinga kama nyinyi mnaofanya ukahaba eti mtatangulia ufalme wa Mungu!
Au biblia ilimaanisha kwa ukahaba mtakufa mapema? Maana utaendaje kwenye ufalme wa Mungu kabla hujafa? Fikiri.
Linakera hili libibi chefuuuBiblia unayosoma umeandika mwenyewe au?! Mbona naona kama biblia ulionayo ya ma free mason
Soma NIT, Learning Translation, KJV, NKJV
😅😅Punguza kuvaa kama kahabaPole Sana aliekuzaa nadhani alikutupa chooni wakakuokota, imebaki na Afya ya akili
Km Kweli hiyo picha ni wewe,ama Kweli umeumbika Vizuri.Hadi nimedindisha.Kwani hauioni hapo Kwa dp