Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Kuiona pepo lazima ufe, na Yesu hapo anasema "...makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika..." Nini maana yake?

Toba ndiyo msingi mkuu wa dini, na toba ya Kiislam si lazima imwagwe damu ya mtu kumfanya laana.

Toba Kiislam ni moja kwa moja, Mja na Muumba wake, hakuna dalali.
 

Tatizo unasoma bilblia kama gazeti ,yesu aliongea kwa mifano na kwa TABULASA kama wewe kung'amua ni ngumu, inahitaji uwe na upako kuelewa maandiko na si mihemko ya Ki-ISIS.
 
Weka picha yako tafadhari kabla ya kuanza kutoa ushauri wetu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kuolewa mara nne nishida pia ujue
Mwambie ugali mchicha uliofunikwa huwa wamoto ni mtamu kuliko wali uliopowa
 
Brother K..cc Futuhi
 
Kuolewa mara nne nishida pia ujue
Mwambie ugali mchicha uliofunikwa huwa wamoto ni mtamu kuliko wali uliopowa
Na bado watu Kila siku wanapasha viporo na tunachanga michango
 
Kwani hauna mwanaume ?mpaka utake picha yangu we mbibi ,mchawi mkubwa.!
Sionyeshi picha Kwa makahaba.
Pole Sana aliekuzaa nadhani alikutupa chooni wakakuokota, imebaki na Afya ya akili
 
Biblia unayosoma umeandika mwenyewe au?! Mbona naona kama biblia ulionayo ya ma free mason

Soma NIT, Learning Translation, KJV, NKJV
 
Biblia unayosoma umeandika mwenyewe au?! Mbona naona kama biblia ulionayo ya ma free mason

Soma NIT, Learning Translation, KJV, NKJV
Fanya wewe kazi hiyo.

Mna versions kila namna , biashara tu, hakuna dini wala kitabu cha Mungu hapo.
 
Acha kuchafua wakristo na wewe ninani kazi kuona dini za wengine ni upotolo mtu mzima ila unajitoa ufahamu usifanye heshima yako ishuke kisa kujiona kahaba tukizungumzia na ushoga asilimia 95% ni dini yenu utakuta mwajuma,asha,ushoga juma ,hamisi,na wengine wengi ndio wafumuliwa marinda eti mnasema ni suna ila umewahi kutuona tukiwahukumu??
Hakunaga tunasema general ila nyie mnaoondea watu sana sababu hakuna hujui dini yetu so https://jamii.app/JFUserGuide off grany
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…