Hii kesi nadhani ingekiwa imeshafutwa.
Kinachokwamisha ni kwakuwa mheshimiwa alilishwa matango pori mapema na yeye akayala bila kujiridhisha sasa wanaogopa kuifuta kwakuwa Chifu atadhalilika.
Aisee una ujasiri haswaa, unatongoza msibani tena makaburiniHello Mrembo! [emoji3059]
Inaliaibisha sana Taifa letu na ndiyo sababu Mh.Lissu alimshauri Mh.Samia ifutwe mara moja.Pia kesi zingine za kuchongwa zifutwe.Lissu kamuomba samia hiyo kesi ifutwe, wacha tusubiri majibu
Kesi ya "UGAIDI" itafutika ki rahisi?.....Lissu kamuomba samia hiyo kesi ifutwe, wacha tusubiri majibu
Kesi ya jpmHii nchi mwenye uchungu nayo alishaondoka. Wamebaki wapigaji tu. Sasa hii kesi haina miguu,wamepoteza mamilioni ya pesa ya kitupia kwenye ujenzi wa kipande fulani cha barabara,ksbb ya huu ujinga.
Ziro kaingizwa cha kike,akaingia mzima mzima. Nae kamuingiza mama chaka. Kama wana akili ndio wajifunze kufumua na kuunda kwa weredi idara zote zinazohusika na upelelezi.
Mungu Mkubwa sana.all in all, big up kwa wakili 'msomi kibatala na team yake' kwa namna alivyo wasambaratisha ma -mashetani ya CCM adi mengine Zaidi ya 10 yaka ogopa kuja kutoa ushaidi mahakaman!
Aisee una ujasiri haswaa, unatongoza msibani tena makaburini
Salamu hizi zimechelewa ilibidi zije trh 14 upigwe mzinga😉😉😉
Kwa hilo, binafsi sijapenda! Napenda nishuhudie KIBUDU! Ngo'mbe kagongwa na gari, anakaribia kufa, tusimtafute MWISLAMU, kwenda kum'malizia kwa KUMCHINJA.Lissu kamuomba samia hiyo kesi ifutwe, wacha tusubiri majibu