Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hata ulambaji wake asali anaufanya kwa umakini mkubwa hadi manyumbu yameshindwa kuelewa. Nipo palee ninaangalia huu mchezo.πMbowe yuko makini sana hakuna mfano. Nipo hapa utaniamini soon.
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai bro.Ha ha ha, wameshaanza.
Duh.Hakuna mkate mgumu mbele ya chai bro.
umeona eeeeeee wale wajinga wa lumumba hawajui hayo.Hayo ni mawazo yako.
Kwa taarifa yako mawakili wameamua kupunguza muda ili jaji atoe hukumu. Kwamba Mzee Mdee na wenzake hawana uwakilishi halali bungeni. Stay tuned...
Hawafanywi wajinga, hawa ni wapumbavu. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kudeki barabara eti lowasa apite.Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Labda niulize, hivi maswali huwa yanaendelea tu hadi lini, kwamba hakuna siku yataisha?Kesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.
Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"
Hao wote wanarudi CDM kabla ya 2025. Na ruzuku inayotokana na ubunge wao chama kinapokea π€£π€£π€£π€£π€£π€£.
Nawaonea huruma akina Martin, wanatumika kijinga sana, kelele nyingi wakati suprimu lida ni mfanyabiashara wa siasa.
wajane wa mwenda zake tunawanyoosha na mamayenu kule moshi anaenda kupikea kadi ya chadema ili 2025 tuwakomeshe kabisa wale wanywa damu za watu na wapiga risasi.CDM Ni matapeli bwaana Niki wa pili chapa Kaz mm na wew Sina bifu tuko pmj had mwisho tuone hili lichma linakwenda na maji walagahi wakubwa matapeli wakubwa
Blah blah za maridhiano wkt wananchi hawna maji,umeme ,afya duni mfumuko wa Bei alfu mijitu inakwenda kuwa sifia ccm ,wacha ccm itawale milelee shenzi zao na njaa zao wapuuz San CDM
Nani aliwalog lkn
Duh nn sasa?Duh.
mamayenu analambisha asali kumbe ambayo ni rushwa au kwa lugha nyingine limamalenu litoa rushwa halafu mnatuambia linaupiga mwingi kwa kutoa rushwa lumumba chaliiiiii.Hata ulambaji wake asali anaufanya kwa umakini mkubwa hadi manyumbu yameshindwa kuelewa. Nipo palee ninaangalia huu mchezo.π
Huna akili we Afande, Ruzuku inatokana na kura za RaisHao wote wanarudi CDM kabla ya 2025. Na ruzuku inayotokana na ubunge wao chama kinapokea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nawaonea huruma akina Martin, wanatumika kijinga sana, kelele nyingi wakati suprimu lida ni mfanyabiashara wa siasa.
Sasa subiri kitakachotokeaKesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.
Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"
.....Ajizi nyumba ya njaa..... Leo hii wale mawakili wamenyoosha mikono juu na kusema hawana tena maswali kwao. Kwa lugha nyepesi mambo yanaenda kuisha[emoji23]
Tabu kubwa inabaki kwa washabiki waliokuwa wakisubiri kwa hamu kina mdee wadhalilike ili waandike kila aina ya andiko. Walisubiri kina mdee wateseke, wachekwe.
Wenye akili tuliwaambia mapema.
Viva Mdee, vivaaaaa
#kazi inaendeleaaaaa#
View attachment 2539139
Usimuamshe aliyelalaMbowe yuko makini sana hakuna mfano. Nipo hapa utaniamini soon.
Ulisoma shule ya kata ukaiba mitihani, ukaenda chuo cha kivukoni ukawa unashinda lumumba pale nje badala ya chuoni haya ndiyo matokeo yake.Uone nini?
Kwahiyo ninyi mnajiona wajanja mlivyoletewa kichaa jiwe na kulazimishwa kumchagua kuwa mgombea urais huku mkiimba wimbo mna imani na Lowasa?Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Kwa hiyo kina mdee sio covid tena?Nadhani ni matokeo ya vikao vya MARIDHIANO kati ya CCM na CHADEMA ,kwenye maridhiano kuna kupata na kupoteza kiasi