Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #41
Hii akili hamjawahi kuwa nayo, ndio maana mliletewa lowassa mkazungusha mikono.Ukiwa na AKILI NDOGO utawabeza hao MAWAKILI kama aliviandika mwandishi wa Habari hii.Lakini wenye AKILI KUBWA tunajua kwanini MAWAKILI WAMEAMUA KUGHAILI
Jambo usilolijua litakupa Taabu sana.HONGERA Mawakili wa CHADEMA kwa hilo Mazezeta yanahaha kutaka kujua kuna nini
Unaandika upuuzi mtupu.mamayenu analambisha asali kumbe ambayo ni rushwa au kwa lugha nyingine limamalenu litoa rushwa halafu mnatuambia linaupiga mwingi kwa kutoa rushwa lumumba chaliiiiii.
Mbowe kila Mara anawafanya mazuzu. Alimleta lowassa mkashangilia, leo kabalalisha wale wa covid 19Kiukweli hata mimi nimeanza kumshtukia Mbowe!
Mwanzo mawakili walivyokua wanahoji maswali ilikuaje? Uzuri mbowe anawajua wote hamna akiliulisoma shule ya kata ukaiba mitihani, ukaenda chuo cha kivukoni ukawa unashinda lumumba pale nje badala ya chuoni haya ndiyo matokeo yake...
Na waka ambiwa wazungushe mikono kama mazinga ombwe ili mabadiliko yatokeeIla mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
wewe ndo huna akili uanazungumzia mwanzo gani na sasa kinachobishaniwa mahakamani ninini?Mwanzo mawakili walivyokua wanahoji maswali ilikuaje? Uzuri mbowe anawajua wote hamna akili
Wewe akili ndogo...CrecheKesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.
Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"
.....Ajizi nyumba ya njaa..... Leo hii wale mawakili wamenyoosha mikono juu na kusema hawana tena maswali kwao. Kwa lugha nyepesi mambo yanaenda kuisha[emoji23]
Tabu kubwa inabaki kwa washabiki waliokuwa wakisubiri kwa hamu kina mdee wadhalilike ili waandike kila aina ya andiko. Walisubiri kina mdee wateseke, wachekwe.
Wenye akili tuliwaambia mapema.
Viva Mdee, vivaaaaa
#kazi inaendeleaaaaa#
View attachment 2539139
Wewe umeenda shule? Una x examinatio ni nini?Utakuwa unavuta bangi siyo bure, kwa kutowahoji inamaanisha kesi imeisha?
Kwamba ?Hii kitu Mnyika na Mbowe wanaijua vema sana.
Sasa hapo kinachowauma ni nini hasa kiasi cha kufungua threads kila siku?!Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Ninapoona watu wanaanza kupatana napata faraja ssna.Impliedly wamekubali yaishe
👇View attachment 2539192
Hadi hapo ujue atakuwa alishawaombeaMarch 8 mam Samia anakwenda kuwaombea msaamaha hao wabunge
Hii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.Impliedly wamekubali yaishe
👇View attachment 2539192
wajinga hawajui mkuu yani lumumba wanafikir kutokuhoji bas hao makahaba wameshinda kesi hawajui kuwa mahakamani unaweza usiullize hata swali au ukaulliza maswali machache na ukashinda kesi.Utakuwa unavuta bangi siyo bure, kwa kutowahoji inamaanisha kesi imeisha?