Hii akili hamjawahi kuwa nayo, ndio maana mliletewa lowassa mkazungusha mikono.
Mbowe kila Mara anawafanya mazuzu. Alimleta lowassa mkashangilia, leo kabalalisha wale wa covid 19
Na waka ambiwa wazungushe mikono kama mazinga ombwe ili mabadiliko yatokee
Mganga wao fundi aisee, wana wachezea watakavyo
Sasa ile kiu yetu yakutaka kujua nani alipereka majina time ya uchaguzi, ndio haipo Tena?
Ndio maana huwa siamini wanasiasa,ambao huanza kunenepa mashavu baada ya muda,hapa compromise imefanyika,"acheni kuwahoji Ili serikali isiaibike,na serikali itaanza kuwapa ruzuku yenu,mi nasubili Lisu afafanue hili.
Asali
Maji,Umeme wasikuletee CCM uje ulalamikie CDM nyau wewe toka hapa.CDM Ni matapeli bwaana Niki wa pili chapa Kaz mm na wew Sina bifu tuko pmj had mwisho tuone hili lichma linakwenda na maji walagahi wakubwa matapeli wakubwa
Blah blah za maridhiano wkt wananchi hawna maji,umeme ,afya duni mfumuko wa Bei alfu mijitu inakwenda kuwa sifia ccm ,wacha ccm itawale milelee shenzi zao na njaa zao wapuuz San CDM
Nani aliwalog lkn
Nani anakufariji?Ndicho mlichobakiza kunifariji.
Mbowe ni mkali wa hizi mambo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huu mchezo hauitaji hasira, sema Mbowe anawauza sana wenzake.
Wakisha pokelewa mbwembwe zote za kuwaita Covid 19 zitaisha, mtaanza kuwaita makamanda.Huna akili we Afande, Ruzuku inatokana na kura za Rais
Hahaha.. Ni heri ya kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavu..!!Maana wapumbavu huamini kila jambo lakini wajinga kuna wakati ujinga huondoka na kupata maarifa..!!Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa Lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Mbwembwe ni kawaida kwenye siasa za Bongo..!!Ndo maana Kuna wapumbavu waliaminishwa kwenye uchaguzi uliopita kwamba Arusha itakuwa kama California na wakapiga makofi na kushangilia..!!Wakisha pokelewa mbwembwe zote za kuwaita Covid 19 zitaisha, mtaanza kuwaita makamanda.
Duuuh, pole Sana mkuu... yaani usilolijua ni kama usiku wa kiza.... Umeonyesha ni jinsi gn ulivyo maamuma kwenye hili andiko lako....Kesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.
Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"
.....Ajizi nyumba ya njaa..... Leo hii wale mawakili wamenyoosha mikono juu na kusema hawana tena maswali kwao. Kwa lugha nyepesi mambo yanaenda kuisha[emoji23]
Tabu kubwa inabaki kwa washabiki waliokuwa wakisubiri kwa hamu kina mdee wadhalilike ili waandike kila aina ya andiko. Walisubiri kina mdee wateseke, wachekwe.
Wenye akili tuliwaambia mapema.
Viva Mdee, vivaaaaa
#kazi inaendeleaaaaa#
===
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimefunga kuwahoji wabunge watatu miongoni mwa wengine 19 wa viti maalum waliofukuzwa uanachama na chama hicho, kikisema kuwa hakina maswali zaidi kwa wabunge hao.
Wabunge walioachwa kuhojiwa maswali ya dodoso leo Jumatatu Machi, 6, 2023 ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko.
Akizungumza leo Machi 6 wakati kesi hiyo iliitwa kwaajili ya Jesca Kishoa kuendelea kuhojiwa maswali ya dodoso, Wakili wa wajibu maombi, Hekima Mwasipu, amesema kesi hiyo ilipaswa kuendelea kwa Mbunge wa Viti Maalumu, Jesca Kishoa lakini kwa upande wao wamefunga.
Wabunge hao 19 wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee walifukuzwa uanachama Novemba 2020 baada ya kwenda bungeni Dodoma kuapishwa bila idhini ya chama hicho.
Tunaweka kumbukumbu sawa tu
Siyo kwamba akina Halima Mdee na wenzake wamesamehewa na Chadema
Bali, Bodi ya Wadhamini imeomba kutoendelea kuwahoji akina Halima Mdee kwa sababu maswali yao yote yameshajibiwa na wale waliotangulia kuhojiwa
Ashukuriwe Hawa na Jesca Kafulila kwa utetezi murua
Barikiwa sana!