Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Niliwaza hilo hilo pia. Kwa vile anatuhumiwa wizi akiwa na tai shingoni basi anaitwa mheshimiwa. Kina John na Juma wanaopora wanaitwa majangili.Kwanini aitwe mheshimiwa kwa tabia hizo alizoonyesha?
Kama uheshimiwa ndiyo huo basi hii nchi imebaki mifupa
Hadi mahakama imuite mhalifu ndo Neno Mheshimiwa litaondolewa.Niliwaza hilo hilo pia. Kwa vile anatuhumiwa wizi akiwa na tai shingoni basi anaitwa mheshimiwa. Kina John na Juma wanaopora wanaitwa majangili.
Ifikia wakati mijizi yote itambulike kwa sifa zao husika. Haya mambo ya kuitana mheshimiwa huku ni mijambazi ni ujinga tu.
Hivi tofauti ya lawyer na advocate ni ipi? Je, anayekuwa na muhuri ni lawyer au advocate?This is too low brother.. Madeleka ni certified lawyer
Umeenda kusoma au umekurupuka?Kwa hiyo bado Rais ana uwezo wa kumuondoa jaji bila 'tribunal board' akiona inafaa ?...
Ndio Aina ya watu tukionao kwamba kulinda na kuitetea uovu wa aliyekua au ambaye Ni kiongozi wa serikali ya CCM Ni ushujaa na huo ndio mtaji!Uelewa wako una hitilafu. Unaelewa maana ya tuhuma?
Reoort ya CAG, unaita ni hearsay?
Maswali mengine ujiongeze hata huko mtandaoni!Hivi tofauti ya lawyer na advocate ni ipi? Je, anayekuwa na muhuri ni lawyer au advocate?
Pascal Mayalla hebu njoo umsaidie huyu mtu amenishinda kabisaKwa hiyo bado Rais ana uwezo wa kumuondoa jaji bila 'tribunal board' akiona inafaa ?...
Safi sana ,Huyu atengwe hivi hivi sio wa kufanya nae kazi ana damu za watu Kwa maelekezo ya Magufuli,anatakiwa akae benchi kama Makonda.
Wewe Tena umebadili upepo!Safi sana ,Huyu atengwe hivi hivi sio wa kufanya nae kazi ana damu za watu Kwa maelekezo ya Magufuli,anatakiwa akae benchi kama Makonda.
Sijawahi kuwa mfuasi wa Sukuma gang Wala sio Mwanaccm au Chadema Mimi ni mwananchi na mfuasi wa Rais Samia tuu.Wewe Tena umebadili upepo!
What if Samia is no more a president?Sijawahi kuwa mfuasi wa Sukuma gang Wala sio Mwanaccm au Chadema Mimi ni mwananchi na mfuasi wa Rais Samia tuu.
Sidhani kama ni rahisi kutengua kama kumtoa DC Kwa nafasi ya Jaji.........Bibi amelikoroga, kama alikuwa anaongea tu kuchangamsha genge bila concrete evidence hapo ndio itajulikana. By the way, ina maana kweli Rais hakuona umuhimu wa kutengua uteuzi wake mpaka afundishwe na mawakili?.
Nitakuwa busy na mambo yangu unless aje Rais ambae nitapenda sera zake Nitakuwa mtetezi wake piaWhat if Samia is no more a president?
Lawyer ni graduate wa LLB, lawyer hana muhuri!Hivi tofauti ya lawyer na advocate ni ipi? Je, anayekuwa na muhuri ni lawyer au advocate?
Utaratibu wa kumuondoa Judge Ni mgumu kidogo mkuu sio Kama kumuondoa Dc
Hao machizi kweli wivu wa maskini ni mbaya sana.
Hawa Mbuzi wa kimahakama kama Biswalo jina la Mwisho ni Maganga wao wameandika Mganga, ni hatari hao jamaa wa kumeeka kumeeka, nataka mseme meeee....nao Mbuzi waitikia meee meeee
Inashangaza sana yaaan kuna miaka flani wakati mikate imeadimika nchini wakati huo raisi ni Nyerere alimpigia simu usiku kumuuliza mkurugenzi wa Usalama tatzo nini. Lkn kwa sasa TISS kama vile hawaoni nahisi kuna haja ya kufanyia marekebisho ili wajione nao wana wajibu wa kuzuia piaHivi watu wa usalama wa taifa huwa wanakuwa wapi mpaka tuhuma kama hizi kubwa zinapotokea katika ofisi nyeti za umma!? Hivi sheria iliyopelekea kuamzishwa kwa TISS, na uwepo wao katika kila idara nyeti ya serikali inatusaidia nini kama Taifa endapo kama karibu katika kila sehemu nyeti kuna upigaji, rushwa, ubadhirifu na ufisadi wa kutisha!?
Waziri mwenye dhamana ya utawala bora, Je! Uwepo wa ofisi yake yenye utitiri mkubwa wa wafanyazi ambao wapo chini yake, wenye dhamana kubwa ya kuwa "watching dogs" kwa rasirimali za nchi, hivi huwa wanakuwa wapi pale uozo wa kutisha unapotokea na kuliingiza taifa katika hasara kubwa!?
Kibaya zaidi habari za ubadhirifu huwa zinakuja na kuanza kufahamika kwa umma zikiwa zimechelewa sana, lakini jambo la kushangaza ni kwamba, hata zikiwekwa wazi viongozi wenye dhamana ya nidhamu kwa wahusika nao huanza kulalamika tu badala ya kuwachukulia hatua stahiki za kinidhamu. Kuna kila haja ya kujenga taasisi imara ya urais, ambayo inawajibika na haisiti kuchukua hatua stahiki kwa wanadhirifu, kuliko kuishia kutumbua, kuhamisha na kulalamika.
Inaudhi sana kusikia sijui mara zipo familia 12 ambazo hazigusiki, ambazo shughuli zao za kilimo zinaleta athari kubwa katika mabonde ya Usangu na Ruaha Kuu. Mara utasikia watu fulani wakiguswa nchi itatikisika, mara kiongozi fulani wa juu anahusika katika kashfa fulani, n.k.