Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
HahahaNgoja waje wajuvi wa haya mambo.
Pro Max😆 Chawa
Hatari sana kumbe kuna chawa Taifa 😆Pro Max
Tatizo ni ID yako mkuu, inafanya tukupuuzeFuatilieni posts zangu
Kila nilichokisema kinatimia hatua kwa hatua
Mungu ameshaondoa kibali kwa CCM na sasa hata kauli na matendo yao yanasawiri anguko lijalo
Sijui wamekua registered kama nani na wapiHatari sana kumbe kuna chawa Taifa 😆
Wapuuzi tu mmbwa hao[emoji38] Chawa
Amen AmenFuatilieni posts zangu
Kila nilichokisema kinatimia hatua kwa hatua
Mungu ameshaondoa kibali kwa CCM na sasa hata kauli na matendo yao yanasawiri anguko lijalo
Wacha pakuche chawa waamke uone moto wakeWapuuzi tu mmbwa hao
Kigugumizi cha Nabii Musa hakikumfanya kushindwa kufanikisha kusudi la Mungu.Tatizo ni ID yako mkuu, inafanya tukupuuze
Na iwe hivyo mapema zaidiKigugumizi cha Nabii Musa hakikumfanya kushindwa kufanikisha kusudi la Mungu.
Pale usipotarajia ndipo jambo lipo.
Mimi Msanii
Nimewahi kuwa kiongozi kupitia CCM nina uhakika kuwa CCM haipo kwa maslahi ya Watanzania bali inawatumia Watanzania kujinufaisha binafsi ndiyo maana vita ya uongozi ndani ya CCM ni kubwa na hatari zaidi kuliko chaguzi kuu za nchi yetu.Na iwe hivyo mapema zaidi
Aaaamen, CCM ni genge la WahuniNimewahi kuwa kiongozi kupitia CCM nina uhakika kuwa CCM haipo kwa maslahi ya Watanzania bali inawatumia Watanzania kujinufaisha binafsi ndiyo maana vita ya uongozi ndani ya CCM ni kubwa na hatari zaidi kuliko chaguzi kuu za nchi yetu.
CCM haioni hasara kuondoa uhai wa Mtanzania yeyote anayetishia maslahi yake ya kujimilikisha Tanzania.
Ni maneno malaini lakini ni suala la muda na tusiharakie sana kwani kila hatua tutapitishwa salama na yeye Anayeona Yote.
Narejea kusema kuwa, kauli zao zitapingana na kujifitini kuanzia juu hadi chini
Hatari sana.Aaaamen, CCM ni genge la Wahuni
Wacha tuone kama watakanushaHatari sana.