Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nchi inanunua mitambo ya kudukua mawasiliano ya raia wake. Maana yake ni kwamba tabaka la watawala wamejimilikisha nchi hivyo raia ni tishio la watawala.Wacha tuone kama watakanusha
Haya sasa, hao watesi wa wananchi wameshaanza kunusa kuwa wanatumiwa...