Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
💪💪💪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi tukiendelea kutawaliwa na watu wenye akili na upeo wa aina hii, kuna siku tutaitwa majina ya ajabu sana. Kama wenyewe tu wanajiita Chawa! Hivi sisi ni nani hasa!! 🤔
Kuna siku wataitwa mav*i na watafurahi kabisa wataunda na jukwaa lao la mav*i.
Kioo cha jamiiKigugumizi cha Nabii Musa hakikumfanya kushindwa kufanikisha kusudi la Mungu.
Pale usipotarajia ndipo jambo lipo.
Mimi Msanii
Nyota 3 polisi....mkuu kituo.....wengi ndio huangukia vyeo hivyo ....hasa mijini kuna nyota 2 wakuu vitu vidogo vijijini huko Au nowmiji...Kwani OCS ni nafasi gani serikalini ?
Jeshi linaenda kwa amri wakiambiwa now no ulinzi watafuata hakuna wa kumgusa labda hajipendi atajikuta bwana nyerere huko alinde maporomoko mjini patamu etiiiKatika pitapita zangu kwenye Social Media nimekutana na "screenshot" inayoonyesha chats za Askari Police (baadhi).
Huenda huu ndio mtazamo wa jumla wa Hawa jamaa wa Form Four.View attachment 2481494
Mungu ameshaondoa kibali kwa CCM na sasa hata kauli na matendo yao yanasawiri anguko lijalo[emoji817][emoji818]Fuatilieni posts zangu
Kila nilichokisema kinatimia hatua kwa hatua
Mungu ameshaondoa kibali kwa CCM na sasa hata kauli na matendo yao yanasawiri anguko lijalo
ujingaKatika pitapita zangu kwenye Social Media nimekutana na "screenshot" inayoonyesha chats za Askari Police (baadhi).
Huenda huu ndio mtazamo wa jumla wa Hawa jamaa wa Form Four.View attachment 2481494
Babu umepotea sana.Kioo cha jamii
Lissu hana impact yoyote wala hakuna chombo chochote ambacho kina habari naye, asitafute attentions ya aina yoyote ajijie tu wakumpokea waende wakampokee wakipenda wambebe mgongoni, "HANA MADHARA YOYOTE KWA TAIFA LETU "Katika pitapita zangu kwenye Social Media nimekutana na "screenshot" inayoonyesha chats za Askari Police (baadhi).
Huenda huu ndio mtazamo wa jumla wa Hawa jamaa wa Form Four.View attachment 2481494
Furahi Sasa na wewe umeendika na kupost. HongeraLissu hana impact yoyote wala hakuna chombo chochote ambacho kina habari naye, asitafute attentions ya aina yoyote ajijie tu wakumpokea waende wakampokee wakipenda wambebe mgongoni, "HANA MADHARA YOYOTE KWA TAIFA LETU "
Kwa CCM Kila kitu kinawezekanaKuna siku wataitwa mav*i na watafurahi kabisa wataunda na jukwaa lao la mav*i.
Hii nchi kiakili inaenda shimoni
Kuna jina nimeliwaza nikaishia kucheka tuHii nchi tumiendelea kutawaliwa na watu wenye akili na upeo wa aina hii, kuna siku tutaitwa majina ya ajabu sana. Kama wenyewe tu wanajiita Chawa! Hivi sisi ni nani hasa!! 🤔
Nipo ndugu yangu. Ni kupishana tu.Babu umepotea sana.