Mawasiliano ya baadhi ya Askari Polisi kuhusu ujio wa Tundu Lissu yavuja

Nchi inanunua mitambo ya kudukua mawasiliano ya raia wake. Maana yake ni kwamba tabaka la watawala wamejimilikisha nchi hivyo raia ni tishio la watawala.

Haya sasa, hao watesi wa wananchi wameshaanza kunusa kuwa wanatumiwa...
Ujenzi was mnara wa Babeli, watazidi kujichanganya
 
Karma
 
Nchi inanunua mitambo ya kudukua mawasiliano ya raia wake. Maana yake ni kwamba tabaka la watawala wamejimilikisha nchi hivyo raia ni tishio la watawala.

Haya sasa, hao watesi wa wananchi wameshaanza kunusa kuwa wanatumiwa...
Karma !
 
chadema mnaandika vi sms vyenu Kisha mnasema vimevuja☹️🤣🤣🤣🤣🤣Kama vipi asirudi basi🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…