Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu, wanalipwa perdiem wawapo Bungeni kwa kigezo gani ili hali wanakaa katika nyumba za Serikali Dodoma?

Mawaziri akiwemo Waziri Mkuu, wanalipwa perdiem wawapo Bungeni kwa kigezo gani ili hali wanakaa katika nyumba za Serikali Dodoma?

Alafu huku wale wa Sensa wanaambiwa wajitolee ni uzalendo😅
Hii nchi hii
Baadhi ya watu sijui watamuambia nini Mungu siku ya kiama
Ukichunguza utaona kwamba hiyo bajeti ya serikali aslimia 70 ni matumizi ya rais, wabunge, mawaziri na spika na naibu spika halafu mfanyakazi anaengezewa mshahara 12000 ni unafiki mtupu tena ni baada ya miaka 6 bila ongezeko lolote juzi tu pia wameogezeana maposho ya safari ambazo kabisa hazimnufaishi mtumishi wa kawaida halafu waziri mkuu anaongea uongo kabisa eti mawaziri wameonezewa aslimia ndogo na wamekaa kimnya anategemea waseme nini na kila kitu wanalipiwa na serikali kuanzia usafiri wao na familia zao, kula, kulala, matibabu india tena wanaongozana na familia zao, masikini ukiumwa ujilipie au ujitangaze kwenye vyombo vya habari uchangiwe tulikuwa na matumaini na hii serikali lakini ndo yale yale lazima tuungane tupige kelele.
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii i ngawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Perdiem ndo nini??
 
Kuna watumishi wa umma wenye mshahara mathalani milioni 1.5, hawa nao wameambiwa wana mshahara mkubwa kwa hiyo nyongeza wanayostahili ni elf 20. Kama mil. 1.5 inawekwa kwenye category ya mshahara mkubwa basi hii nchi imeshatopea kwenye ufukara wa kutisha.......mimi nikadhani mishahara mikubwa ni ile inayoanzia mil. 15 hadi mil. 40 ambayo mingine ndo walikuwa wanajilipa kule NHC, kumbe na hizi mil. 1.5 hadi mil. 4 na yenyewe inaitwa mishahara mikubwa......basi twafwaaa........waacheni wajilipe night pasipo kusafiri nje ya kituo cha kazi maana wao mishahara yao ni midogo sana kuliko ile ya watumishi wa umma.
 
Eti waziri mkuu unaulizwa wewe ni mzalendo? Kama ndio je unauhalali wa kulipwa padem wakati upo hapohapo kwako ?;Au unalala ndani ya bunge?
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii ingawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Mkuu, uko sahihi kabisa. Perdiem I atakuwa kulipa ukiwa nje ya kituo chako cha kazi. Waziri Mkuu, mawaziri na Spika Kituo chao cha kazi ni Dodoma. Kwa maoni yangu hawastahili kulipwa.

Pia huu mtindo wa kulipa a sitting allowance kwa kufanya kazi unayolipwa mshahara nao ni ufujaji wa mali za umma. Na hili nafikiri linafanyika Tanzania tu.
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii ingawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
KATIBA MPYA
 
Hii nchi ina unafiki mwingi sana, Heche Kwa nini hahoji mishahara na marupurupu ya wabunge anarukia Kwa Waziri Mkuu?
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii ingawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Tupambanie KATIBA mpya.

Mzee Warioba ateuliwe na AAPISHWE kuwa mkt wa Tume amalizie KAZI aliyoianza. Kikosi KAZI wakae benchi.

Wanasiasa walipwe kiduchu Ili kuzuia wimbi la Wataalamu kukimbilia Vyeo vya kisiasa,

Mawaziri wasitokane na wabunge.

Wazalendo pekee ndo wagombee. Ameeeen
 
Huyo Heche aache unafiki. Zito kabwe aliwahi jieleza wabunge uharali wa kutopokea hiyo posho ya "Makalio"

Hao hao kina Heche waliungana na upande wapili kumshambulia Zito nakumuita majina mabaya.

Leo anataka kutushawishi tumuonee huruma? Kwani Chadema haikua nawa bunge wanao ishi Dododoma?
Si hayumo humo lazima aongee, wakiingia mule wanasahau ya huku nje
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii ingawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Wizi Kama kawaida
 
Kwa mujibu wa John Heche kupitiia account yake ya twitter, Waziri Mkuu analipwa posho ya shilingi 340,000/= kwa siku awapo Bungeni. Posho hiyo inahusisha sitting allowance pamoja na perdiem na bila shaka hata mawaziri wengine nao wanalipwa perdiem. Tukumbuke John Heche alikuwa mbunge.

Wote tunajua perdiem ni posho ya safari kwa mtumishi anaposafiri kikazi na si vinginevyo ili imsaidie kugharamia malazi, chakula na mambo mengine awapo safarini.

Kwakuwa Waziri Mkuu anakaa katika nyumba ya serikali na bila shaka anahudumiwa na serikali karibu kila kitu, uhalali wa Waziri Mkuu kulipwa perdiem unatoka wapi ili hali yeye na mawaziri wengine wanakaa Dodoma katika nyumba za serikali?

Hata Spika na Naibu Spika, nao wanastahili hayo malipo?

Je, wanalipwa kwasababu tu na wao ni wabunge?

Kama hiyo ndio sababu, hii ni sahihi?

Je, haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma?

Katiba Mpya ilenge kupiga marufuku mambo ya aina hii ingawa si kila kitu ni cha kuingizwa kwenye katiba.

Pia, hii ni sababu nyingine kwanini mawaziri wasitokane na wabunge.
Ndio maana tunatozwa tozo za hovyo kabisa ili wao na familia zao wajineemeshe
 
340,000 kwa siku??
My, my, my......
Wakati Mimi juzi nilipandishwa mshahara wa mwezi kutoka 950,000 Hadi 990,000 na masimango kibao eti nimeongezewa asilimia 23.
Hivi MTU unaweza ku spend 340,000 kwa siku? Utakula nini?
Juzi Kati nikitoka out na familia ya watu 4 tulibeba 50,000. Tulijichana nyama pale kibaha Nida na chenji ya daladala ilibaki.
How do you spend 340,000 in 24 hours????
 
Back
Top Bottom