peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Jafo alisoma first degree SUA , Bacholar of Human nutrition. Phd yake inatofauti na alichosomea SUA? Au sio lazima viendaneGarissa na Tanzania wapi na wapi case kufanana sio hoja data zitakuwa tofauti kabisa Jafo zake za Tanzania huyo zake za Kenya huwezi kusema Ni copy and paste mfano mmoja akifanya case study ya Covid 19 ujerumani na mwingine akafanya case study ya Covid 19 Tanzania huwezi sema wa Tanzania ka copy and paste case study ya ujerumani .Ni case tofauti zenye Takwimu tofauti
Kupitia CCM hilo linawezekanazisije zikawa phd za uheshimiwa
Sijawahi kusikia mzaramo ambaye ni PhD holder, labda iwe ni PhD ya uswahilina......haya yatakuwa ni moja ya maajabu ya dunia.
Wamo ingawa unatakiwa utumie tochi kuwatafuta.....Marehemu Profesa Alli Kighoma Malima alikuwa Mzaramo!
Unakariri bwashee! Nasema huwezi hata kufikiria kuanza PhD bila kusoma na kusoma ni part of reviewing the literature. Kwanza nikuulize, una PhD au napoteza muda kwa mtu aliyesoma PhD za wenzake.
Chief ni kwamba watu huwa wanabeba mambo ya mitandaoni mazima mazima, PhD bila research na publication kwenye reputable journal hiyo siyo PhD, Hiyo ni Advanced Masters
Mkuu siyo kwamba literature review inakusaidia kujua utopolo waliofanya wengine ili wewe unyooshe mambo......Wote wababaishaji tu hapa! Mambo waliyofanya akina Isaac Newton, Albert Einstein, Max Planck. Marie-Curie, Schrodinger, Maxwell, Nicola Tesla n.k magwiji kabisa kuwahi kutokea duniani hao watu walikuwa wanafanya literature review kutoka wapi! Kimsingi unatakiwa kubomoa kichwa chako mwenyewe kuliko kudesa kazi za watu kwa kusingizia literature review! Piga kazi yako mwenyewe toka kichwani kama akina Newton ndipo tutajua hiyo ni PhD yako, hakuna cha literature review hapa! Namalizia kusema hapa kuwa hakuna wa kumnanga mwenzake wakati wote mmedesa kazi za watu (plagiarism).
Hizo PhD za kisiasa peleka huko!! Hakuna profesa hata mmoja aliyewahi ku-deliver nchi hii!! prof Kapuya alitumia helkopta ya jeshi kwenda kusalimia majirani zake Tabora! Profesa Mhongo/mwongo alisema pesa za escrow si za umma wakati ni za umma na zilikuwa zinatunzwa benki kuu, Profesa Lipumba alitumika kusambaratisha chama kikubwa cha upinzani kisha akajikuta ametumika kama ............ kisha kutupwa kwenye dust bin!!! Profesa Kawambwa alichofanya kwenye wizara ya elimu anakijua mwenyewe!! Kwa hiyo hatutegemei msomi wa bongo aliyesoma akiwa na malengo ya kufaulu tu na kufaulu kukawa ndio mwisho wa upeo wake, anaweza kuwa na jambo lolote la maendeleo!!
Barack Obama ni University Professor/ Juryprudence Doctor lakini sijawahi kuona anatumia hizo prefix labda kwenye CV
JK ndiye Mkwere wa Kwanza kuwa kanali na Doctor( PhD).
Ushaandika yako au unasoma za wengine?Wote wababaishaji tu hapa! Mambo waliyofanya akina Isaac Newton, Albert Einstein, Max Planck. Marie-Curie, Schrodinger, Maxwell, Nicola Tesla n.k magwiji kabisa kuwahi kutokea duniani hao watu walikuwa wanafanya literature review kutoka wapi! Kimsingi unatakiwa kubomoa kichwa chako mwenyewe kuliko kudesa kazi za watu kwa kusingizia literature review! Piga kazi yako mwenyewe toka kichwani kama akina Newton ndipo tutajua hiyo ni PhD yako, hakuna cha literature review hapa! Namalizia kusema hapa kuwa hakuna wa kumnanga mwenzake wakati wote mmedesa kazi za watu (plagiarism).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Open university ni chaka la degree hewa wanasiasa wanaipenda kweri kweri in JPM voice.
Jaffo awe rais? Hii nchi haiko serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimewai ona mahali wanasema baada ya jiwe huwenda jafo ndie angekuwa rais dkt selemani jaffo mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aise, sasa ana furaha maana ba jes alimbana sana kwa yule dem
Ushaandika yako au unasoma za wengine?