Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Wewe mwenye masters mbona unaonekana ngumbaru tu hapa!Mwambie huyo jamaa...hajui na ni mbishi hatari...huyo hata masters hana...nimemjibu hat haelewi maskini ya Mungu ubishi tu wa wabongo hat kama kitu hajui.
Which Management is mediating?Huu sasa ndio u-snitch kabisa! Hizi mbona ni studies mbili tofauti zenye uwezekano wa kufanana variables chache tu? Study populations ni tofauti. Respondents ni tofauti. Hata research questions na methodology lazima ziwe tofauti, kwa kutazama title tu. Daudi Biriye amechunguza hizo factors katika wilaya moja nchini Kenya, wakati Dr Jafo amechunguza "mediating role of management" katika kushughulikia hizo factors kwa Tanzania nzima, na huenda hata factors zenyewe hazifanani.
Acheni wivu jamani.
Niliposoma maelezo haya, nimeamini akili haikutoshi au una matatizo ya ufahamu. Unaamini kabisa UDOM ina maprofesa ambao ni wakubwa sana, wanajua sana hawawezi kutoa digrii za kishenzi, ni wataalamu sana! Huijui UDOM na hujui elimu ya vyuo vikuu na hujui elimu za wanasiasa.Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.
Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.
Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.
Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?
Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?
Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.
Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Daaah . . . Hujaelewa mzee.Kwa hiyo kupishana naye mara moja chuoni huko PhD tayari !!
Kama ndivyo basi nawe kaandikiwe.Hawa wanapewaga tu hizo PhD. For prefix use only, kichwani weupee.
Reseach wanaandikiwa wanaenda kuwasilisha tu.
Au kadesa kama jiwe
Kwa kusema hayo kuhusu chuo chetu cha UDOM unataka kutuaminisha nini? Kwamba wale madaktari waliohitimu UDOM na sasa wanahudumu katika mahospitali nchi nzima hawafai? Hujafa hujaumbika ndugu, utakabwa na mfupa wa samaki au utapata ajali ya bodaboda uvunjike kidevu ukakutane na madaktari kutoka UDOM halafu tuone kama utaendeleza matusi yako. Unamaanisha wale waalimu waliohitimu UDOM na sasa wanafundisha katika mashule nchi nzima, ya serikali na ya binafsi, unatuambia hao hawafai? kwani wanao wanasoma wapi mwenzetu, au bado kinda hujapata familia? Unataka kutuambia wale wanasheria waliohitimu UDOM na sasa wanahudumu katika mahakama zetu kama mawakili, waendesha mashitaka na mahakimu, kwamba ni wa hovyo? Utapata kesi hivi karibuni ukakutane nao. Usijiamini sana, hujui kesho yako. Acha dharau.Niliposoma maelezo haya, nimeamini akili haikutoshi au una matatizo ya ufahamu. Unaamini kabisa UDOM ina maprofesa ambao ni wakubwa sana, wanajua sana hawawezi kutoa digrii za kishenzi, ni wataalamu sana! Huijui UDOM na hujui elimu ya vyuo vikuu na hujui elimu za wanasiasa.
Usiombee watu mabaya ili umuhimu wako uonekane. Wengine tunaona ubaya na udhaifu wako kila siku! Jilani yangu hapa kijijini anatibu magonjwa sugu na hajawahi kupitia UDOM yako.Kwa kusema hayo kuhusu chuo chetu cha UDOM unataka kutuaminisha nini? Kwamba wale madaktari waliohitimu UDOM na sasa wanahudumu katika mahospitali nchi nzima hawafai? Hujafa hujaumbika ndugu, utakabwa na mfupa wa samaki au utapata ajali ya bodaboda uvunjike kidevu ukakutane na madaktari kutoka UDOM halafu tuone kama utaendeleza matusi yako. Unamaanisha wale waalimu waliohitimu UDOM na sasa wanafundisha katika mashule nchi nzima, ya serikali na ya binafsi, unatuambia hao hawafai? kwani wanao wanasoma wapi mwenzetu, au bado kinda hujapata familia? Unataka kutuambia wale wanasheria waliohitimu UDOM na sasa wanahudumu katika mahakama zetu kama mawakili, waendesha mashitaka na mahakimu, kwamba ni wa hovyo? Utapata kesi hivi karibuni ukakutane nao. Usijiamini sana, hujui kesho yako. Acha dharau.
WivuuMbona Leo ana defend na kA copy PhD ya Mkenya huko Hadi title. Hawa wanasiasa wakubwa wananunua elimu zao vyuoni
Usifananishe sangoma na wataalamu waliohakikiwaUsiombee watu mabaya ili umuhimu wako uonekane. Wengine tunaona ubaya na udhaifu wako kila siku! Jilani yangu hapa kijijini anatibu magonjwa sugu na hajawahi kupitia UDOM yako.
Wewe hamnazo hujui kuwa plagiarism in academics ni kosa kubwa ka la uhujumu uchumi, wewe unaleta hoja nyepesi ya wivu hauko seriousWivuu
Basi Sawa!2025 atakuwa lecture huku Kisarawe tunakwenda na Mpendu.By wa Ukae.
Panel inakuwa kama semina ya poshoHahahahah watu wanakuwa washatembezewa bahasha za perdiem laki laki[emoji28]