Mawaziri Selemani Jafo na Dotto Biteko watunukiwa PhD ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

Mkuu, kichwa cha habari katika uzi wako kilipaswa kusomeka kwa lugha nyepesi tu ya kuwa "Mh. Jafo kutunukiwa shahada ya uzamivu"

Hayo mengine ndiyo hasa huanza kuibua mijadala mingine iliyokuwa hasi. Hongera Mh. Jafo kwa kutwaa jiwe la juu katika uwanja wa kitaaluma. Ni heshima kubwa kwako na kwa taifa letu pia.
 
Huu ndio ukweli wenyewe PhD ya kubumba hii [emoji28][emoji28]
 
Nina ushahidi wa kutosha kwamba hiyo kazi alifanya mtu huko Kenya wilaya ya Garisa. Naona kanunua na kubadilisha tu majina, yale ya Kenya akayaweka majina ya maeneo ya Tanzania.
Weka ushahidi hadharani, vinginevyo ni majungu tu
 
Hongera sana mzee wa ku rap mpaka mtu anazimia!!
 
Kuna kizee kisomi tu kilisema kimeokotwa kwenye jalala!Mzee rubbish kweli!😝😝😝😝
A
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] halafu eti ana PhD
 
Mbona Leo ana defend na kA copy PhD ya Mkenya huko Hadi title. Hawa wanasiasa wakubwa wananunua elimu zao vyuoni
 
Wazaramo kwa maneno haya Dkt Jafo umesikika vyema ingawa umeiwasilisha kimichambo zaidi

Wazaramo na kusoma wapi na wapi bana, hiyo PhD kapewa tu kisiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…