Mawaziri Selemani Jafo na Dotto Biteko watunukiwa PhD ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

Mawaziri Selemani Jafo na Dotto Biteko watunukiwa PhD ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

Niwe mkweli, amenifundisha miaka 4, sikusikia kitu hicho..... Prof Gaspar Ndaalio...alikuwa Mchaga. RIP my Prof!
Kwahiyo ina maana aunts zetu walituongopea?
Ninyi kipindi chenu pale Mlimani ilikuwa kawaida kwa wanaume kunyanyasa wanawake kijinsia. Binti ananyanyaswa kuanzia na lecturers hadi wanafunzi wenzake, akizidi ubishi anamaliziwa kabisa na MZEE PUNCH. Kumbuka suala la dada Levina Mukasa aliyejiua kwa sababu hiyo mwaka 1990.
 
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.

Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.

Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.

Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?

Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?

Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.

Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Kongole kwa jaffo
 
Sijatumia povu wala sijatetea. Nimekosoa watu wenye tabia ya kubeza mafanikio ya wenzao, na nikatoa ushauri.
Sawa ndugu. Lakini hakuna aliyebeza PhD hiyo ya Mhe Jafo kwenye jukwaa hili. Uliyemtaja aliibeza kwenye jukwaa lingine, ungemjibu huko huko. Kulileta huku ni kama wewe sasa unaeneza taarifa zake hizo za kubeza na kutufanya wengi sasa tujue kuwa kuna mtu amembeza Waziri wetu. Mengine unapiga tu kimya ndugu yangu. Wanasema ukifukuza kila mbwa anayekubwekea njiani, hautafika kwenye safari yako. Hivyo achana na maneo ya binadamu, tusonge mbele. Kuna African proverb moja inasema 'the barking of a dog does not disturb the man on a camel'
 
U-doctor upo mwingi tu, tujuze yeye anakuwa dokta wa nini?
 
Yeye hana cha kuhonga, akina Jaffo wamehonga kuanzia wasimamizi hadi mwandikaji.

Hata kwenye kuwasilisha anahonga pia ili ateleze.

Pesa huwa inarahisisha mambo mengi sana!

Tuseme ukweli enzi za Jiwe Mawaziri walikuwa wanapelekeshwa puta puta, Jaffo alipata wapi muda kuandika research? jibu ni kuwa "alihonga akaandikiwa".

PhD ya Jiwe ilipoanza kuhojiwa iliondolewa kwenye Publication, aliyehoji alipotezwa. Kama aliamini sio ya mbeleko angetuacha tuihoji ili atuprove wrong

Kwani jafo alizaliwa na hivyo vya kuhonga? Si alitafuta!? Na nyie tafuteni pesa buana acheni kulalamika
Tena malalamiko ya maneno yasiyo na uthibitsho
 
Yeye hana cha kuhonga, akina Jaffo wamehonga kuanzia wasimamizi hadi mwandikaji.

Hata kwenye kuwasilisha anahonga pia ili ateleze.

Pesa huwa inarahisisha mambo mengi sana!

Tuseme ukweli enzi za Jiwe Mawaziri walikuwa wanapelekeshwa puta puta, Jaffo alipata wapi muda kuandika research? jibu ni kuwa "alihonga akaandikiwa".

PhD ya Jiwe ilipoanza kuhojiwa iliondolewa kwenye Publication, aliyehoji alipotezwa. Kama aliamini sio ya mbeleko angetuacha tuihoji ili atuprove wrong
Natamani nitapate mtu wa ku"review" Thesis/Dissertation yako kama ipo.
 
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.

Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.

Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.

Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?

Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?

Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.

Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Hizi PhD za siku hizi 90% ni za mwendokasi tu hazina quality,PhD za miaka ya 1960s-1990s ndio hasa za uhalisia.

Ni udhalilishaji wa elimu yetu ,ilianza PhD ya Magu,Mwigulu ...sasa na huyu,soon babu Tale na Kibajaji nao watapata,ni fashion!
 
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.

Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.

Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.

Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?

Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?

Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.

Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Sasa unaambiwa kazi yenyewe aliyoiwasilisha ameikopi toka kwa mtu wa Kenya aliyefanyia utafiti wake huko Garisa, Kenya.
 
Ni vigumu sana kutetea thesis ya kuandikiwa ama kufanyiwa research bila kujali level ya IQ ya mtu labda committe iwe weak kiasi cha kutosha!
We jamaa, watu wanapewa wanaiimba kama sala ya baba yetu
 
Nina ushahidi wa kutosha kwamba hiyo kazi alifanya mtu huko Kenya wilaya ya Garisa. Naona kanunua na kubadilisha tu majina, yale ya Kenya akayaweka majina ya maeneo ya Tanzania.
 
Nina ushahidi wa kutosha kwamba hiyo kazi alifanya mtu huko Kenya wilaya ya Garisa. Naona kanunua na kubadilisha tu majina, yale ya Kenya akayaweka majina ya maeneo ya Tanzania.
Ishaanza kuvuja au??[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.

Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.

Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.

Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?

Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?

Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.

Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
PHD za bongo za wanasiasa ni chenga tu,wanachojali ni heshima tu,hakuna manufaa yoyote ukilinganisha walipokuwa na shahada na sasa Wana PHD!!ni mbwembwe tu,
Watu wangapi wanajua DP William Ruto ni PHD holder!!wachache sana,kwa sababu yeye anajari hiyo PHD inafanya nini,sio kuitumia kama cheo,
Kuna mbwiga mmoja,alitaka tuamini anayoyasema kuhusu uchumi!kwa vile tu ni Dokta wa uchumi!!hajawahi hata kushauri au kuendesha kampuni,kisa kadesa na kupata PhD,anataka tutetemeke
 
Kwa Tanzania au Africa PHD au proffesor ni title tu lakini hazinaga msaada kwenye ground..... muulize sasa PHD yake ina msaada gani kwenye jamii yake au nini amefanya kupitia elimu yake na kuisaidia nchi zaidi ya kuwa na kadi ya CCM...

Binafsi naona bora hata tuwe na viongozi masela au wenye elimu ya degree kuanzia second class kwenda chini....hawa wengi halafu ukakuta masela huwa wako real, wengi waliosoma vizuri hapa Tanzania huishia kuwa wapumbavu tu..
 
Kuna kautamaduni kameibuka ka kuchukia watu wanaofanya bidii na kufanikiwa katika kazi, biashara, masomo au hata maisha kwa ujumla.

Ukipata cheo watasema umependelewa, ukifanikiwa kibiashara watasema ni freemason una misukule dukani, ukifanikiwa kielimu utasikia mara hii si lolote si chochote amefoji tu! Acheni hizo. Acheni wivu.

Kama na nyie mnataka kuwa 'doctor' kasomeni. Mwenzenu Jafo amebukua pale UDOM huku akiendelea na majukumu yake ya uwaziri, na leo anatunukiwa PhD yake.

Kuna jitu nimeona huko limeshaenda kufukua huko mitandaoni linadai hiyo thesis ya Jafo inafanana na ya nani sijui wa huko Kenya! Hivi, kati yako wewe wa madongo kuinama na maprofesa wa UDOM, ni nani mwenye uwezo wa kutambua kuwa thesis iko sahihi au la?

Unaamini kabisa kuwa unaweza kuwakosoa maprofesa waliomsimamia Jafo hadi leo anapomalizia defense?

Narudia: acheni wivu. Kama jambo huliwezi sema "siwezi", usiseme "haiwezekani". Jafo ameweza, wengine igeni, jifunzeni.

Hongera sana Selemani Jafo, PhD.
Kwa uandishi huu wa kujilinda huenda wewe ndiye Jaffo nani dhahiri umeipata hiyo Phd dukani kwa mpemba
 
Back
Top Bottom