Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Yaani wewe ni empty headed
Ngoja nikuitie aisha mashauzi ukaimbe naye taarabu maana umeshindwa kujibu unaleta umbea tu ...nimekuuliza kwanini hao akina halima wasikatae hayo majina umeshindwa kunijibu
 
Andika hiyo lugha unayojua vizuri sio huu utoto uliouandika hapa.
Najua kirusi nimesoma huko toka shule ya msingi hadi sec...nilisha sema siku nyingi wewe tumia kiswahili mimi nitatumia kiswaili acha kukalili
 
Mayala maana yake ni Njaa, hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
Anaitwa Pascal Njaa
 
Njaa umemshushia heshima sn
 

NI KWELI MAANA MIMI PIA KUNA SIKU NILIJIBU POST YAKE JUU YA HAO 19 , AKANIULIZA KAMA NINAIFAHAMU KATIBA YA CHADEMA, NA ALINIWEKEA VIFUNGU VYA KATIBA YA CHADEMA.
 
Binafsi mimi umuona Mayala kama mtetea tumbo lale sioni jingine kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…