Kwa hiyo mpaka mabalaa waliyo washa kimataifa walicheza na.wabavu kutoka mataifa mengine..?Yaaah Hilo sijapinga mkuu.....kagere na Bocco walikuwa Bora Sana.......Ila walikuwa Bora mbele ya wabovu
Nadhani umewahi shuhudia ...unaweza kuwa unaongoza shuleni .....lakn mkienda kwenye mitihani ya mock ......unakuta yule kipanga wenu yupo nafasi ya 20
That's y nasema inawezekana Hawa ndugu walikuwa Bora mbele ya wabovu
Kama wako poa ......Basi walete competition kipind hiki ligue ngumu
Mayele na baadhi ya proffesinal players wa YANGA hawakuruhusiwa kuchezaMnaongea sana na huyu Manywele wenu. Nyie si mlicheza na rivers utd. ikawaje?
Bakisheni maneno msimu ujao kuanzia august mtakuwa Champions league si yetu macho.[emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ubora wa mapele mbona hatuoni huko CAF kwa waliobora..?Yaaah Hilo sijapinga mkuu.....kagere na Bocco walikuwa Bora Sana.......Ila walikuwa Bora mbele ya wabovu
Nadhani umewahi shuhudia ...unaweza kuwa unaongoza shuleni .....lakn mkienda kwenye mitihani ya mock ......unakuta yule kipanga wenu yupo nafasi ya 20
That's y nasema inawezekana Hawa ndugu walikuwa Bora mbele ya wabovu
Kama wako poa ......Basi walete competition kipind hiki ligue ngumu
khabari ya mujini ni kapombeeeeeeeeeeeeeeAtapona tu mkuu.....najua mmeimisi burudani yake
Utauona tar 24 ameahidi anaanza na Namungo anamaliza na Kibaca inonga.Huo ubora wa mapele mbona hatuoni huko CAF kwa waliobora..?
Labda CUF ya lipumba. Maaibu yatakayolipata hili taifa tupo. Acha tutunze nguvu za kuja kuwabaragua hapa. Tuombeane uzima tuSubirni msimu ujao kombe la CAF linakuja champions.....na hatuendi shirikisho li
Inonga huyu huyu wa huko CAF ..? Aliye mfuta uwanjani siku.ile na akamsindikiza kabsa mwali.wake... 🤣🤣🤣🤪🤪Utauona tar 24 ameahidi anaanza na Namungo anamaliza na Kibaca inonga.
Mugalu kagere bocco na sakhoKwa unavyoona.....ni mshambuliaji gan hatare now east Africa
Nadhani jibu linalokuja ni MAYELE EEEE
Hivi siku ile alicheza kweli maana sio kufichwa kule mpaka kuzalilishwa🤣🤣🤣🤣Alifurahi kuona mtu anaewasumbua anatoka
Mwili pia unachoka na nyakati zinabadilika kila siku huwezi kupata wewe tu. Acha kina mapele nao wapate mwaka mmoja. Sasa kwa taarifa yako mapele ni sawa tu na molingaKwanin saiz hawafung Kama msimu uliopita
Sasa ww unafananisha mechi na utani.Takwimu hazidanganyiView attachment 2192295