Mazishi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Lowassa, Februari 17, 2024

Waache "WAFU" wazike "WAFU" wao...
 
Na wale waliowahi kumuita fisadi papa na kumuweka kwenye list of shame...na baadae kuja kutuambia kuwa mgombea wao na kumnadi kila pembe ya nchi nao tuwaweke kwenye kundi gani....????
 
Nafikiri siku ya leo TANESCO/serikali ingefumba macho kuruhusu umeme nchi nzima ili wananchi wafuatilie yanayojiri Monduli. Anyway kama kuna mkono wa mtu basi naye siku zake kuwe na mikwamo kwa watu wake
 
Unawezakuta msukuma na nape nao wapo msibani.
 
Na wale waliowahi kumuita fisadi papa na kumuweka kwenye list of shame...na baadae kuja kutuambia kuwa mgombea wao na kumnadi kila pembe ya nchi nao tuwaweke kwenye kundi gani....????
List of shame ilihusu Nini???

Aliyekuwa anamuita Lowassa fisadi Papa ni Lipumba na siyo CHADEMA.
 
Kuna mambo mengi hapa yamewekwa wazi tofauti na Chato, camera zilikuwa remotely controlled kutoka kusikojulikana
 
Nipo tabata (temporarily), kwa ndugu na jamaa, tumeshindwa kuona matukio kwa sababu ya HAKUNA UMEME, mnaolea huu uzembe.......!, nisije kutukana, nimechukizwa mno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…