Mazishi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Lowassa, Februari 17, 2024

Kuna watu walikuwa wakisema Marehemu hakuwa Mmasai je hili lina ukweli kiasi gani? Kama ni kweli vipi hizi taratibu za mazishi za kimasai zinazoendelea zikiongozwa na wazee wa mila au ndiyo ule msemo unaosema pesa inaweza kuvunja milima?
 
KikulachoChako hiyo picha uliyoweka unainasibisha na Nini??

Mwenyewe humu nina mabandiko ya kutosha kushinikiza Lowassa afikishwe mahakamani. Unajua ni kwa nini??

Sisi tulijua hata iweje CCM hawawezi kumfikisha Lowassa mahakamani kwani wanajua ni sawa na kufungua Sanduku la Pandora.
 
Tanesco akili visoda, tukio la kitaifa linaendelea wao wamakata umeme, TANESCO nani amewaroga nie jamani, inaumiza na kuudhi sana
 
JK na RA vipi wapo hapo
 
Mkuu uku tupo live n muda wakuweka mashadaa ,,

Hakikaa kaburi limependezaaa ...

Rip lowasaa
 
Kuna mambo mengi hapa yamewekwa wazi tofauti na Chato, camera zilikuwa remotely controlled kutoka kusikojulikana
Kama Una angalia ITV, Sawa Ila kama ni TBC kuna vitu hawaonyeshi,

Hata nyumba ya lowasa , haionekani, utasema msiba unafanyika porini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…