Mazoezi kwa mwanaume ni muhimu Sana kama unataka kumridhisha mwenza wako kwenye tendo!

Mazoezi kwa mwanaume ni muhimu Sana kama unataka kumridhisha mwenza wako kwenye tendo!

Wewe ni mtumwa tu. Mimi huwa nawashangaa wanaosema tafuta pesa ili uweze kupata wanawake kirahisi, au kama wewe, eti fanya mazoezi ili umridhishe mwanamke. Utakuwa disappointed, mwanamke hatulizwi kwa pesa wala ngono. Unaweza ukafanya yote hayo na akaondoka vile vile. Tafuta pesa kwa ajili yako, fanya mazoezi kwa afya yako...
🔨🔨🔨
 
Mkuu kuna watu wanapga zoez lakn hamna ktu hayo mazoez ni jambo la 2 kama si la tatu

1:- mental
2:- msosi kamili
3:-zoez

Yote hayo yanajuishwa na pesa 🕛🍵🧶
 
Mkuu kuna watu wanapga zoez lakn hamna ktu hayo mazoez ni jambo la 2 kama si la tatu

1:- mental
2:- msosi kamili
3:-zoez

Yote hayo yanajuishwa na pesa
🕛🍵🧶
Mnazani tunaoongelea hili ndo hatutafuti hela? hata kujifunza hamtaki Aya Balthazar mwenetu hakuwa na hela alowashenyenta wote wale mabwana zao hawakuwa na hela? acheni kuzubaa tafuta hela Fanya mazoezi na misosi hiyo ndo itapatikana sasa tena mnaojifanya mabosi tunawala wake zenu na hizo pesa zenu tunapewa
 
Nimeona nizungumzie hili wanaume wenzangu kama unahitaji mpenzi wako afurahie shughuli yako ya kitandani jitahidi kufanya mazoezi ili uwe mwepesi kuhakikisha unapumzi ya kutosha hivihvi jamani tutalaumiwa sana na tutapigiwa sana
👏🏻👏🏻👏🏻Ujumbe mujarabu kabisa
 
Mnazani tunaoongelea hili ndo hatutafuti hela? hata kujifunza hamtaki Aya Balthazar mwenetu hakuwa na hela alowashenyenta wote wale mabwana zao hawakuwa na hela? acheni kuzubaa tafuta hela Fanya mazoezi na misosi hiyo ndo itapatikana sasa tena mnaojifanya mabosi tunawala wake zenu na hizo pesa zenu tunapewa
Mlete demu uanae mgegeda ni mgegede aje akupe experience, simaansha ela gunia .
 
Wewe ni mtumwa tu. Mimi huwa nawashangaa wanaosema tafuta pesa ili uweze kupata wanawake kirahisi, au kama wewe, eti fanya mazoezi ili umridhishe mwanamke. Utakuwa disappointed, mwanamke hatulizwi kwa pesa wala ngono. Unaweza ukafanya yote hayo na akaondoka vile vile. Tafuta pesa kwa ajili yako, fanya mazoezi kwa afya yako...
Hakika
 
Wale wa kimoja chali tena cha kusua sua na kukoroma juu washaugeuza uzi kichwa chini miguu juu
 
Fanya mazoezi kwa afya yako sio et kwa ajili ya kumridhisa mtu, umeambiwa wanaridhikaga hao?
wanaridhika vzr sana km huamini mlete shemeji kwangu nikae na saa moja tu afu muombe papuchi kama atakupa hatoi ng'odo tena demu akiridhika uwa anafurahi kupitia kiasi na wao wapo humu wanaweza kusema
 
Nafikiri kwa umri wangu ifike mahali sasa niache kuchangia nyuzi kama hizi 🤔
 
Umeongea point sana! Mimi perday nakimbia km5 na pushapu 100 kwahiyo nikikaa katika ya dimba anatamani akimbie
Nilichokuja kugundua mwanamke ni utundu wako wa kumkojoza tu yeye hoi.

Hayo mambo yenu ya kusimamia kucha unaweza kusimamia kucha kumbe yeye anaona unamuumiza tu.
Alafu kuna mhuni anamteka kihisia akimtekenya tu dakika 5 nyingi kashamwaga kojo.

Kingine mwanamke kuinjoi mapenzi mpaka awe na hisia na wewe. Kama hana hisia utasimamia sana kucha
 
wanaridhika vzr sana km huamini mlete shemeji kwangu nikae na saa moja tu afu muombe papuchi kama atakupa hatoi ng'odo tena demu akiridhika uwa anafurahi kupitia kiasi na wao wapo humu wanaweza kusema
acha kujidanganya mkuu, utakuja kufa mdomo wazi
 
Back
Top Bottom