Mbagala Dar es Salaam ni chafu sana, inanuka

Kuna watu wachafu na washamba na wananuka Tanzania hii kuwazidi wasukuma?
Wasukuma ndio wanao ilisha mbagala kwa mchele acha matusi utalala njaa kwa kukosa ubwabwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwee laki 3, kweli nitafute hela.

Zinafanya kazi gani hizo?
Unajua kinachosumbua Daslam joto siteee ni lile fukuto, fukuto linaletwa na kiwango cha unyevu angani. Sasa hii kitu inaondosha ule mfukuto unakua kawaida kabisa chumbani au sebuleni, hewa haiwi nzito. Unalala kwa amani tele. Au pia waweza nunua zile feni unaweka barafu inakupepea ili ulale kwa amani na uzuri zinakua pia rechargeable, ila imara ni kuanzia laki 250
 
Ukisikiliza maneno ya wanasiasa utaseme unasikini uleee tumeuaga. Hawa jamaa haya maneno matamu sijui wanayatoaga wapi asee. Wanasiasa hamuendi mbinguni.

Alafu mkuu kila ukuandika kwa MPARANGE mbona unakata/unamute baadhi maneno? Km Hilo jina Lina ukakasi mlibadishe tu kuliko kuona aibu kulitaja.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kweli, mfano hapa nimewasha feni ila upepo nasikia kwa mbali maana kuna fukuto la hatari ukifungua mlango atleast ndio unaiskia hewa nyepesi.
Hiyo kitu nzuri sana basi
 
Nimesema Rangitatu na nikatoa tahadhari usiende mvua ikinyesha sasa Rangitatu nyingine ya Mbagala iko wapi! Kila mara zingatia simama, soma, tafakari kisha chukua hatua.
Umewahi kwenda posta wakati mvua ikinyesha?
Umeenda kariakoo na kuona chemba za mavi zinavyotiririsha maji mchana kweupe? Je umewahi kwenda kariakoo kipindi mvua inanyesha?
Umewahi kwenda kawe kupitia mikocheni wakati mvua ikinyesha?
Nafikiri wewe ni mgeni hapa dar es salaam.
 
Nikilala na feni kabla hata usiku haujafika nusu chafya na mafua kama yote, Asubuhi namka mgonjwa wa mafua.

Ni mateso kwakweli, mvua tu zije
Tumia karafuu kuanzia leo maisha yako yote utakuja nishukuru. Nilikua mhanga wa mafua toka utoto wangu hadi ukubwani, the day nimeanza kula karafuu, sijaumwa mafua nina miaka 3. Kula kila siku asbh na jioni tafuna tembe 4 kila asbh na jioni. Hutaumwa mafua, hutaumwa meno, na kama una vidonda vya tumbo inafunga. Nimepona vidonda kwa hii kitu pia, nilipokuja kutafiti ndio nikajua kumbe alaa inafunga na vidonda vya tumbo. Nimeteseka sana na vidonda licha ya kula sana dawa za kienyeji za kila aina. Mimi natembea nazo hata nikisafiri natafuna tu hata katikati ya siku. Akili ishazoea
 
That place is nasty
Mvua ikinyesha pale ukitoka unaoshwa miguu.

Soko la chakula kuwa katika hali ile ni mbaya sana. Na ndizi Asilimia 90 zinatokea pale kwenda masoko mengine

Lile soko halitakiwi kuwa pale ila siasa
 
Mbezi beach napo mvua zikinyesha hapafai, kuanzia Makonde hadi Afrikana hayo mafuriko yake ni balaa tena barabarani kabisa
 
Kama umesikia harufu ya mbagara rangi tatu, ila hujasikia harufu Shekilango, Manzese Bhaheresa, mbezi Stand ya Daladala, Utakua una pua za aina yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…