Mbagala Dar es Salaam ni chafu sana, inanuka

Mbezi beach napo mvua zikinyesha hapafai, kuanzia Makonde hadi Afrikana hayo mafuriko yake ni balaa tena barabarani kabisa
Mbezi beach wakati wa mvua wanafungulia maji ya chemba wanayapeleka nje,nyumba nyingi
Mbezi beach hazina mfumo wa kupeleka maji taka baharini

Ova
 
Mbezi beach wakati wa mvua wanafungulia maji ya chemba wanayapeleka nje,nyumba nyingi
Mbezi beach hazina mfumo wa kupeleka maji taka baharini

Ova
Sasa uchafu wote unaenda barabarani na kwenye nyumba za jirani na barabara, ustaarabu zero kabisa
 
Mkuu dar yote kwa kifupi ni chafu na inanuka ikinyesha mvua yaani ni uvundo niliwahi kutoingia kwenye soko la Ilala boma kwa damu za kuku na takataka zilizo oza yaani nilirejea nyumbani sikuweza kuingia kufata bidhaa
 
Hivi mbagara kizuiani ile barabara kutokea kiburugwa magenge mapya mmeisusa ama oneni aibu ile sehemu ni ya hovyo sijawahi kuona toka nitembee dar na viunga vyake lami mashimo ya ajabu ajabu hata gari zinapita kwa tabu sana
 
Sidhani kama ni kweli, Mbagala CCM hawajawahi kushinda kihalali ...tujaribu kuongelea hoja iliopo..nini kifanyike hawa ni watanzania kama ilivyo watanzania wengine, hata kama hukai Mbagala.
Wapi CCM waliwahi kushinda kihalali?
 
Mipango ya kwenye makaratasi ndio ccm inachokiweza..kuhamishia kwenye uhalisia ni ngumu sana kutekelezeka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbagala inasemwa vibaya Sana Sisi ambao mji huu tunaujua tunakushangaa Sana.. vipi tandale Kwa tumbo utasemaje Kwa harufu au tembelea machinjio ya vingunguti utajua mziki wa harufu au nenda mabibo pale kwenye chujio la maji taka.
Hapa DAR kuna sehemu zinanuka vibaya mno kuliko Huko mbagala ebu nenda ferry pale utajua hiki ninachosema sometimes kama mji huu haujafika sehemu zote ni Bora ukae kimya,subiri siku mvua inanyesha kubwa alafu uje kariakoo uone vinyesi vinaelea
 
Ila feri soko la samaki napo kuna harufu kali sana nahisi mpaka jumba jeupe pale wanalipata

Ova
 
😂😂Ni nyama ya ovyo iyo wanakula watu wa ovyo
 
Mswahili ni mtu wa mwambao wa pwani ya afrika mashariki...mimi ngosha.

#MaendeleoHayanaChama
Ni miongoni mwa watu waliostaarabika wa mwambao vipi una waunganisha na uchafu??? Huwezi kuona wanalala na wanyama nyumba moja mfano kuku nguruwe ng'ombe nk kama nduguzao.
 
Mbagala ni mkoa uliopo ndani ya Dar.
 
Uzazi wa mpango ni suluhisho kwa matatizo mengi Sana Afrika. Mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…