sasa kama na yeye anataka ukubwa afanye hiyo siasa pia achukue ,hata kama ni siasa ujue ndo ukubwa wenyeweWakati anachukua hyo balloon dor ya 7 ulisikiliza hotuba yake!? Au umesehau aliwah chukua tuzo ambayo alistahli Iniesta!? Ballon dor kipindi cha messi na Ronaldo ni siasa kati ya matajiri wa Madrid na Barcelona. Kwahyo acha kukurupuka
Naunga mkono hoja,Mimi naona hao kina pelle,maradona,R9,R10,zidane walikuwa bora kwa nyakati zao.
Messi na cristiano ni wachezaji bora kwa nyakati zote
Rekodi inaonyesha hivyo,hao wawili wamevunja rekodi zote.
Ukija kwa mbape naona anajiharibia tu mwenyewe ilibidi awatumie kaka zake vizuri ku set rekodi zake
Neymar na messi bado wapo juu ..
hata ballon Dior 2 hachukuiMbape atastaafu mpira hajafikia hata nusu ya mesi hatafikia uwanjani na nje ya uwanja
Hazard angeendelea kuwa Chelsea angekuwa legend ,sasa hivi kapotea kabisaNaunga mkono hoja,
Hiki kibur alikianza hazard pale Chelsea,
Kauzwa hell ndefu Sana Madrid, ona alivosahaulika mapema
World cup ni group award ambayo inategemea na ubora wa kikosi ndiyo maada hata Oliver Giroud anayo Messi hana.Ana world cup messi hana Kiufupi dogo anajua kuwa yeye psg ni muhimu kuliko messi so yeye account hizo ballon d or anatamba kwa umuhimu wake na thamani anavyopewa psg same to messi kwenye kipindi chake barca alivyokuwa anasumbua wenzie na kwa umuhimu wake akiwa camp nuo
[emoji23][emoji23][emoji23] naona raia mmeshikilia babgo GiroudOngezea na hii, Olivier Giroud ana World Cup Messi Hana.
Wanawaacha wakina Kimpembe na wenzane Giroud sijui kawakosea nini hawa ... π π π[emoji23][emoji23][emoji23] naona raia mmeshikilia babgo Giroud
Tena uache uongo. Wewe una jua ni tuzo ngapi alistahili kuchukua ki halali ila akanyimwa? Eti mpira ni vita ya Matajiri. USA ipo wapi kwenye mpira? Mpira siyo story. Kama una ujua una ujua tu. Hata uwe wapi. Shukruni kuwa na Messi kwenye dunia ya mpira. Ndie kipimo cha ubora mchezaji yoyote kwa sasa wa Mpira.Wakati anachukua hyo balloon dor ya 7 ulisikiliza hotuba yake!? Au umesehau aliwah chukua tuzo ambayo alistahli Iniesta!? Ballon dor kipindi cha messi na Ronaldo ni siasa kati ya matajiri wa Madrid na Barcelona. Kwahyo acha kukurupuka
Zlatan anamheshimu Messi kuliko unavyofikiri. Zlatan alikosana na Guardiola na ndiyo bifu linalo exist mpaka sasa, ili kuonesha kuwa Barca inaweza bila Zlatan, Guardiola akampa Bojan muda mwingi kucheza.Wanasahau figisu alizokuwa anafanya messi kwa akina ibramovich
Mbona hata giroud ana world cup πππ?Ana world cup messi hana Kiufupi dogo anajua kuwa yeye psg ni muhimu kuliko messi so yeye account hizo ballon d or anatamba kwa umuhimu wake na thamani anavyopewa psg same to messi kwenye kipindi chake barca alivyokuwa anasumbua wenzie na kwa umuhimu wake akiwa camp nuo
NdioMkitumia kigezo cha ballon dor kusema mchezaji flani ni bora, kwahyo mnataka kuniambia Messi ni bora kuliko Ronaldinho, Maladona, Ronaldo dilma, Pelle, galincha, Zidane!?
Messi hakwenda PSG ili akawe mfalme, ufalme wake ulikuwa Barca. PSG ilimtaka Messi ili kukuza brand na sababu za kibiashara zaidi.Nasimama na Boss Mbappe kwenye hili, Neymar na kaka ake Messi kama wanaona PSG hapawafai waondoke waiache PSG salama kwanza wao wawili wamechangia kiasi kikubwa kukoss kombe la uefa msimu uliopita kwa uchezaji wao wa kizembe na wanatakiwa wajue kila timu ina mfalme wake na kwa hapa PSG ni Mbappe
Hata hhao unaowataja wanakiri kuwa Messi ni Mchzaji bora. Mtu anayeukataa ubora wa Messi mara nyingi nni Messi mwenyewe.
Hili Gogo liko wp siku hizi?Zama zake zimekwisha kama kigogo wa Twitter tu
Exactly, ingawa duru za Barca zinashawishi Messi arudi msimu ujao ili akamalizie soka lake Barcelona na aagwe kwa heshima anayostahili si kwa machozi aliyoondokea.Messi Yuko pale hadi WC ipite ikishapita anasepa zake marekani kumalizia soka lake
Messi,Neymar na hata Ronaldo wanasubiria hii WC ipite watimkie huko kwenye soka lisilo la ushindani.
Wako hizo timu Ili wapate spot kushiriki hii WC ya mwaka huu ambayo ndio kama ya mwisho kwao.
Hawa wachezaji (Messi na Christiano Ronaldo) wanastahili pongezi na heshima kwa maana wametuburudisha na kutufanya tu enjoy soka kwa miaka zaidi ya kumi wakiwa katika kiwango cha juu. Natamani kuona kama Mbape atakuwa katika ubora wa juu kwa miaka 10 mfululizo kama hao miamba.Mimi naona hao kina pelle,maradona,R9,R10,zidane walikuwa bora kwa nyakati zao.
Messi na cristiano ni wachezaji bora kwa nyakati zote
Rekodi inaonyesha hivyo,hao wawili wamevunja rekodi zote.
Ukija kwa mbape naona anajiharibia tu mwenyewe ilibidi awatumie kaka zake vizuri ku set rekodi zake
Neymar na messi bado wapo juu ..