Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
anamppa mondi kapeloJamaa anatoa makapelo kwa walio vimbiwa na shibe huku wanyonge wakipiga miayo
1995 nilishiriki kikamilifu kampeni za chadema ikiwa ndio mikutano yenye washiriki wachache sana. Lakini wakati huo nikiwa na umri chini ya miaka 10 nilikuwa namwelewa mgombea mmoja wa udiwani chadema. Alieeleza sera zake makini zikanigusa. Tangu hapo mimi ni mwanachama mwandamizi wa chadema. The implanted instincts since then shall never wear off.huyu mtoto anaakisi maisha yetu tulipotoka, wengi tuliotoka vijijini tulikuwa hivi.
nakumbuka kampeni ya mwaka 1995 tulilikimbiza gari la chedema mvua ikatupiga kisawa sawa
Safii.. we jamaa nona. mwaka 95 ulishaanza kuikubali chadema. familiayangu yote ilikuwa nccr mageuzi1995 nilishiriki kikamilifu kampeni za chadema ikiwa ndio mikutano yenye washiriki wachache sana. Lakini wakati huo nikiwa na umri chini ya miaka 10 nilikuwa namwelewa mgombea mmoja wa udiwani chadema. Alieeleza sera zake makini zikanigusa. Tangu hapo mimi ni mwanachama mwandamizi wa chadema. The implanted instincts since then shall never wear off.
Ndio maana hatukumpa kofia , tumempa vifaa vya shule ili akasomeWhat a double standard. Si mnasema watoto wabaki shule kujisomea na sio kuhudhuria mikutano ya kisiasa Kama wanavyosombwa na ccm? Nilifikiri mngemchapa viboko ati.
Mkuu unaweza kuzituma tu,hebu timiza dhamira yako usiiache ipotee!!Safi sana, huyu ningekuwa huko alipo ningemnunulia pia sare za shule nyingine kama seti tatu hivi!
Ulitaka apewe kofia?Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
huyu mtoto anaakisi maisha yetu tulipotoka, wengi tuliotoka vijijini tulikuwa hivi.
nakumbuka kampeni ya mwaka 1995 tulilikimbiza gari la chedema mvua ikatupiga kisawa sawa
kweli kabisa mkuu.. nime edit ilikuwa ni nccr mageuzi1995 alikuwa Mrema na NCCR, Chadema nadhani hakugombea. Labda Ubunge.
Kwani Mayanga construction (T) LTD anasemaje?Hapa ndipo utaujua utapeli wa CHADEMA ni hiki walichokionyesha kwa huyu mtoto
Sera yao wanayonadi ni kuwa maendeleo sio vitu
Chadema mumekiuka sera zenu maendeleo sio vitu kwa nini mumempa huyo mtoto vitu yaani madaftari na Peni?
Hizo kweli ndizo za hadi kumpiga picha mtoto?
Chadema ni wepesi sana wa kusahau.Nyumbu ni nyumbu tu.Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?