Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Acha Uongo sema huna hela, kwani hadi uwe huko aliko tu ndo umnunulie?
Uongo gani sasa!? Au ni wivu unakusumbua tu...!? Ni kweli sina hela, pia utambue kutoa si kuwa na hela! Kwa mwezi natumia zaidi ya 90k kwa ajili ya bando, hizo sare ni kiasi gani ndio nishindwe kununua? Kuna maoni ambayo tayari nimekwisha yachukua na nitayafanyia kazi!