Mbarali: Dogo aliyepanda juu ya mti ili kumuona Tundu Lissu apewa zawadi ya vifaa vya shule

Mbarali: Dogo aliyepanda juu ya mti ili kumuona Tundu Lissu apewa zawadi ya vifaa vya shule

Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?

Watoto wadogo hawakusanywi kwa kuacha masomo kwa barua kama inavofanyika CCM ambapo barua inaandikwa kabisa kwa watumishi wa serikali kuwa wahakikishe wanahudhuria mikutanano na Daftari la mahudhuria litakuwepo. Huyo mtoto amehojiwa akasema alimaliza masomo saa 6 ndiyo akaenda kumuona Lissu. Hajaambiwa na mtu. Ila nijisikie Maria Nyerere alibosema kuhusu mbinu za kuongeza vichwa kwa mboga mboga
 
What a double standard. Si mnasema watoto wabaki shule kujisomea na sio kuhudhuria mikutano ya kisiasa Kama wanavyosombwa na ccm? Nilifikiri mngemchapa viboko ati.
Kwani Lissu kawabeba kwenye malori kama wale wa mwingine. Au unataka awafukuze
 
What a double standard. Si mnasema watoto wabaki shule kujisomea na sio kuhudhuria mikutano ya kisiasa Kama wanavyosombwa na ccm? Nilifikiri mngemchapa viboko ati.
Huyo dogo katoka zake shule baada ya muda wa masomo akajiongeza zake yeye binafsi ili kwenda kusikiliza sera za Tundu Lissu kuhusu Elimu bora.

CCM wako busy kuswaga wanafunzi wa shule nzima kwa fimbo kama mbuzi kipindi cha muda wa masomo ili kwenda kumshangilia Mugufuli akicheza na wasanii wa bongo flavour.

Unaweza kuona tofauti.
 
Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .

Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !

View attachment 1572209View attachment 1572210

Unaweza kumsikiliza dogo hapa akihojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa
Mbona wamempa vitu vichache [emoji1787][emoji1787], wangempa na baiskeli banah
 
Huyu mtoto hakuambiwa aende kumwona Lissu. Aliamua mwenyewe. Achana na wale watoto wa shule wanaoamrishwa na viongozi wa shule kwenda kwa Magufuli.
 
Mkuu unajua kujitetea

Swala ni matumiz ya watoto kwenye kampen
matumizi ni kwa wanaowatumia watoto kwa RC kuandika barua rasmi ili shule zifungwe kwa ajili ya kujaza uwanja , kumbuka huyu dogo alinaswa na camera ya BBC akihangaika kutaka kumuona Lissu jukwaani , hakusombwa na Chadema
 
Huyo dogo alitakiwa achapwe viboko na makamanda maana hawataki watoto kwenye mikutano yao ya kampeini, hapo sasa ndio utajua CHADEMA imejaa double standard ! Ndio maana tunaojitambua tunasema ni CCM mbele kwa mbele.

Sheria inasemaje kuhusu viboko, au kwa kuwa ninyi vibwengo mnabariki uonevu?
 
Makamanda Zawadi gani hiyo, mnatuaibisha wekeni Namba tumpe zaidi
 
Huyo mtoto amehojiwa akasema alimaliza masomo saa 6 ndiyo akaenda kumuona Lissu.
Kahojiwa mtoto hawajahojiwa walimu shule anayosoma
Taarifa zilizopo shuleni ni kuwa alitoroshwa na mtu kwenda naye kwenye huo mkutano wenzie wakiwa darasani .Nahisi atakuwa huyo aliyemhoji .Sababu wanafunzi wenzie wanasema walimuona na mtu aliyeondoka naye
 
Hakuna kitu kama hicho huyo ameandaliwa mapema kama yule aliyetoa mikeka na kuku, ni maigizo ya nyumbu mbugani.

Aliyetoa kuku, unamaanisha yule Mzee aliyeozeshwa mama mtu kwa mahari ya jogoo kule Rufiji.?
 
Kahojiwa mtoto hawajahojiwa walimu shule anayosoma
Taarifa zilizopo shuleni ni kuwa alitoroshwa na mtu kwenda naye kwenye huo mkutano wenzie wakiwa darasani .Nahisi atakuwa huyo aliyemhoji .Sababu wanafunzi wenzie wanasema walimuona na mtu aliyeondoka naye

Bwege kweli hili, na si ajabu walimu wakatishwa na dola ili wapindishe ukweli huu!

Hujui kuwa ushahidi wa mtoto hautiliwi shaka?

Muwaache watu huru, japo watoto hawajafika umri wa kupiga kura lakini wanayo machaguo yao.... na huenda wakatuma wazazi wao wawachagulie mkombozi.
 
Huyu mtoto hakuambiwa aende kumwona Lissu. Aliamua mwenyewe. Achana na wale watoto wa shule wanaoamrishwa na viongozi wa shule kwenda kwa Magufuli.

Kuna mikoa ilibidi shule zifunguliwe Jumanne kisa tu Jumatatu kuna uzinduzi wa kampeni za chama pendwa!

Hatujasahau hilo, wasitusahaulishe kwa sababu ya Zakayo shujaa mmoja.
 
Hujui kuwa ushahidi wa mtoto hautiliwi shaka?
Na ushahidi wa watoto wenzie ambao ni wengi walioko shule anaposoma nao hautiliwi shaka utakapotolewa ambao watoto wenzie walimuona akitoroshwa na kuondoka na mtu
 
Na ushahidi wa watoto wenzie ambao ni wengi walioko shule na hautiliwi shaka utakapotolewa ambao walimuona akitoroshwa na kuondoka na mtu

Msingi wa ushahidi huo utakuwa ni kitu gani, kwa kuwa kavunja sheria kuhudhuria makutano? Au kisa kapanda mtini, mti wa chama dola!

Mtoto mmoja tu kawanyima usingizi huku nyie mkilazimisha shule lukuki na watumishi wote, hakina HAKI ni nuru huchanua popote.

Acheni FUTUHI.
 
Back
Top Bottom