Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kanikumbusha mbali hiyo Lafudhi yake.mbarali hakuna njaa , watoto wanakula kila kitu
Miaka hiyo ya 80 kipindi nipo huko nilikuwa naongea kama yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanikumbusha mbali hiyo Lafudhi yake.mbarali hakuna njaa , watoto wanakula kila kitu
Makamanda wapita kimya kama hawaioni hii postChadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
Hujui kwamba JF watajiri tupo pia?Utaweza ?
ajaletwa na roli lakiniChadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
ana miaka 18 huyoo?Hii ni rushwa, chadema waenguliwe kwenye huu uchaguzi wa Rais maana wamekiuka maadili na kanuni za uchaguzi. Hawana sifa ya kuendelea kushiriki
Ulikuwa una miaki mingapi wakati ule?1995 nilishiriki kikamilifu kampeni za chadema ikiwa ndio mikutano yenye washiriki wachache sana. Lakini wakati huo nikiwa na umri chini ya miaka 10 nilikuwa namwelewa mgombea mmoja wa udiwani chadema. Alieeleza sera zake makini zikanigusa. Tangu hapo mimi ni mwanachama mwandamizi wa chadema. The implanted instincts since then shall never wear off.
Tatizo lako wewe chanzo chako cha habari ni channel 10 na tbc na uhuru na mzalendo tuHakuna kitu kama hicho huyo ameandaliwa mapema kama yule aliyetoa mikeka na kuku, ni maigizo ya nyumbu mbugani.
Am going to save this photo as i have this gut feeling he is going to be somebodyChadema mnasema maendeleo sio vitu kwenye sera yenu kwa nini mumempa vitu yaani madaftari na peni huyo mtoto?
Mwangalieni usoni dogo anavyowashangaa!! mbona mnasema maendeleo sio vitu halafu mnanipa vitu? Dogo anaonyesha wazi kachukia na hawaelewi Chadema anauliza nini hiki mlichonipa mkononi wakati mnasema maendeleo sio vitu na nimemsikia mimi mwenyewe Lisu akiongea nilipokuwa juu pale penye mti? Mbona siwaelewi?
View attachment 1572220
toka kampenu zimeanza huyo ni mtoto wa kwanza kuonekana mkutanoni akiishangaa Chadema hapo CHadema wanaona kama wameona mwezi ndio ujue CHadema ya SASA ina hali ngumu.Watoto kuonekana mkutanoni ni kama almasiKweli kutoa ni Moyo
Kumtangaza ulie msaidia ni masimango
Watoto kwenda kwenye kampeni za CCM wanaitwa watoto wakienda chadema wanaitwa mashujaa
Tutunze ndimi zetu tufikiri ukurasa ujayo
Tulishindwa kumlinda Mdude tutaweza kumlinda huyu dogo???Kuanzia sasa tunaomba wanachadema wa Mbarali kumlinda huyo dogo
ukiona kobe kapanda juu ya mti kapandishwaAm going to save this photo as i have this gut feeling he is going to be somebody
huyo ni mtoto atalindwa na malaika wa mungu..na kwa mdude yale mliyomfanyia laana yake ndo itawatafuna tarehe 28Tulishindwa kumlinda Mdude tutaweza kumlinda huyu dogo???
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utabiri:
Tutarajie kuona wanafunzi wengi zaidi juu ya miti ya kijani ili tu habari hii isionekane kuwa habari!
Utakuwa huna akiri, umeona ujumbe huo aliouwasilisha?Chadema huo ni ushahidi kuwa mikutano yenu inahudhuriwa na watoto wadogo
mumekuwa mkisema ohh mikutano ya CCM wanahudhuria watoto wadogo huyo mliyempa daftari Chadema ni kikongwe huyo?
Huyo dogo ni mwamba kweli kweli.Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .
Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !
View attachment 1572209View attachment 1572210
Unaweza kumsikiliza dogo hapa akihojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa