mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
nzuri kabisa.niko tu naangalia idadi ya wachawi wenye umri mdogo kabisa tz.
Hawa wachawi wabaya kuliko wale wa enzi za Firauni kule misri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nzuri kabisa.niko tu naangalia idadi ya wachawi wenye umri mdogo kabisa tz.
Kamanda, tuwekee ushahidi basi kuthibitisha ili tuyaamini hayo usemayo, vinginevyo na wewe tutakuona ni mmoja wa waropokaji tu.Hakuna weledi hapo. Waliosambaza ni wengine huyo wanamuonea tu ili waonekane wanapiga kazi. Mediocrely done.
jiangalie mkuu usije ukaangukia kwenye mikono ya dola halafu ukakosa wa kukutetea, akili za kuambiwa changanya na zako, usiwe kama bendera...kufuata upepo unapo elekea mwishowe utajikuta vichakani...
Ofsin kwake😷Magogoni, chattle ama dom
Al Jazeera hupelekewa habari na mtu au watu, kwa hiyo mwenye kupeleka habari ndiye wa kukamatwa.Wangekamata kwanza Aljazira
Mbona Lugola alishindwa pamoja na kuahidi zawadi nono.Waanze na kigogo
Al jazeera? Hiyo itakuwa Al Jazeera ya Simiyu.Al Jazeera hupelekewa habari na mtu au watu, kwa hiyo mwenye kupeleka habari ndiye wa kukamatwa.
Boss hebu nitue kwanza ..khaa..usinichoshe mie sasa unataka kusemaje kwamfano..wapi nimetangaza amekufa? EishHuyo dada ni mjinga, kafanya biashara na watu wengi humu Ila anaendeshwa na upepo wa wanasiasa bila kujua wale wapo kwenye kazi yao ya siasa.
Tunakufa mara1...kama umewah sikia au kuona kuna mtu asiye na woga mm nimo top 10[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Keyboard inapo kufanya kuwa mwamba mithili ya simba, ngoja udakwe
UnikomeeTofautisha uoga na ujinga, ulionao ni ujinga. Tuishie hapa
Exactly bossWangewasaka na wale waliomshambulia Lissu
Aljazera ndio wakamatwe kama wako serious kweli, wanaonea watu hata wao wenyewe wanajua ni mgonjwa.Waanze na kigogo
😂😂Labda ndiye kigogo mwenyewe
DPP anasemaga hana haja ya kuendelea na kesi,ila mhusika anakua kasota muda mrefu.
Kumbuka wanaweza kukufungia wewe lakini wao wanaipata.Hawa jamaa hawako serious yaani wamefunga twitter halafu wanatumia hiyo hiyo twitter kama source ya kufikisha habari?
Nilidhani ndo waliokamatwa.Wangewasaka na wale waliomshambulia Lissu