Mbaroni kwa kusambaza uzushi Mtandaoni kwamba Rais Magufuli ni Mgonjwa. Kigogo wa Twitter naye anasakwa
Jamani mbona mnatuchanganya?. Mtu wangu wa karibu kitengo kanidokeza nisisumbuke na kuangaika na uvumi unaoendelea mtandaoni TISS wameamua kucheza na akili za watu kupotezea ishu ya mahindi kukataliwa Kenya.

Kigogo na Chahali ole wenu Jiwe azinduke
Kwahiyo kila litakapotukia jambo lenye utata watalisolve kwa kumficha mzee na mzee atakubali?

Basi TISS na huyo wanayemficha wote hawana akili.
 
Unawakumbuka waliokuwa wanasema LOWASA ni MGONJWA!?
Hivi nikuulize tu, hivi utafurahi ikitokea baba yako au babu yako au mjomba yako anazushiwa jambo ambalo sio la kweli.
Kama hupendi basi acha tabia ya kudandia maneno ambayo hayana uthibitisho.
Usipende kushabikia mambo usiyo yajua.bora uka kaa kimya.
 
Yaani uandike utumbo halafu wakuache kisa wamendika wengi!

Wewe kama umeamua kupost post tu,watakushika,watakugonga,wakiona haitoshi watakuua kabisa.

Sasa kama unajua yote hayo yanaweza kukupata na bado ukaendelea kupost,wewe ndio utakuwa shujaa wa kamati ya roho chafu wote.
na watakuchongea sanamu ya kukuenzi.
 
Watawala, Mjitafakari matendo yenu..

Nchi imekosa mshikamano na badala yake tunaombeana mabaya hadharani,

Hakuna haja ya kukimbizana na watu mitandaoni.., mtakamata wangapi?

Jengeni nchi yenye umoja, msilingie na kujivunia vyeo mlivyo navyo

##YUKO WAPI RAIS WETU KIPENZI?
Umemkumbuka mpenzi wako....?
Usihofu, anakazi nyingi kwa sasa....vumilia utamuona tu.
 
Huyo kijana akamatwe tu.
Maana ni uzushi, Meko haumwi, amekufa kibudu, na mzoga wake bado upo India, kwanini huyo kijana katoa taarifa ya kuumwa badala ya kusema ukweli kuhusu kifo cha dikteta Jiwe?

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2331][emoji2331][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
hivi nikuulize tu, hivi utafurahi ikitokea baba yako au babu yako au mjomba yako anazushiwa jambo ambalo sio la kweli.
kama hupendi basi acha tabia ya kudandia maneno ambayo hayana uthibitisho.
usipende kushabikia mambo usiyo yajua.bora uka kaa kimya.
Ndio majibu ya swali nililokuuliza
 
Mwingine Chahali anatia aibu maafisa usalama wa Tanzania ya kuwa awapikwi vizuri kama anashindwa kuelewa hata heirachy of power serikalini.

Someone needs to tell that bozzo baada ya Magufuli mtu anaemfuata kwa power serikalini ni Dr Bashiru (kama katibu mkuu kiongozi) better still Dr Bashiru bado ajatoka rasmi kama katibu mkuu wa CCM.

Kwa maana hiyo hadithi yake ya uzushi aina mashiko hakuna mtu anaeweza panga mipango nje ya Dr Bashiru; labda raisi mwenyewe.
 
Kwa nini ufutwe mkuu?
Si umeona wameuunganisha na uzi wa mtu mwingine!! Yaani hapa wamekusamehe sana. Wiki hii wanajitahidi kuziondoa nyuzi zenye mlengo huu wa maswali.
Na wana sababu ya msingi bila shaka.
 
Matamko ya serikali!?
Wenye mamlaka ya kusema wapo kimya na siku zinaenda, unazuia uvumi kwa kukamata watu au kwa kuonyesha ukweli? Mbona kuwatafuta na kukamata ni kazi kubwa kuliko kusema tu mh. Raisi yupo kwake kwa mapumziko simpo tu"....
Unafikiri hahahaha, tuache tu ushabiki maana pia hautusaidi
 
Bosi wake na kange wameshindwa ndo yeye ataweza au ndo kusaka teuzi. Haya mambo ya teuzi yamehamia kwa malaika.
 
Huyo kijana akamatwe tu.

Maana ni uzushi, Meko haumwi, amekufa kibudu, na mzoga wake bado upo India, kwanini huyo kijana katoa taarifa ya kuumwa badala ya kusema ukweli kuhusu kifo cha dikteta Jiwe?
Ukibakwa kama mdude unaitisha waandishi!!!![emoji28][emoji28][emoji28].

mnakuwaga mnawashwa sana wakati fulani.
 
Back
Top Bottom