Basi na ww ni pimbi kama kila siku unachungulia kwenye page yake naww ni pimbi
 
Mkuu Ramadhani Kingai nikukumbushe siku chache zilizopita Mh. Mbowe na mwenzie walizushiwa kifo, acha huyo amezushiwa ugonjwa (wakati inawezekana kabisa kwamba ni mgonjwa kweli), sijui mmeshawashughulikia wahusika hao waliowazushia kina Mbowe kifo?.
 
Yupo sana, kama mna uwezo wa kumkamata akiwa hapa nchini, kimewashinda nini kumkamata aliyempiga Lisu risasi?
Hamna mtu pale, alipofiwa na baba yake alipomzika tu akakimbia fasta fasta et ana muogopa jiwe!
 
Unajua Leo nimeshangaa Sana watu ambao tumekuwa tukiwasiliana kuhusu biashara na maneno wanayoyatoa. Lakini pia nawaza Kama unataka kufanya hayo yote why unaji-engage kwenye business Tena na id ileile?
Anyway
Hahahaha unataka uwachomeshe hahahaha hakuna mtoto humu mkuu
 
Mkuu Ramadhani Kingai nikukumbushe siku chache zilizopita Mh. Mbowe na mwenzie walizushiwa kifo, acha huyo amezushiwa ugonjwa (wakati inawezekana kabisa kwamba ni mgonjwa kweli), sijui mmeshawashughulikia wahusika hao waliowazushia kina Mbowe kifo?.
Mbowe unamlinganisha na Rais kweli!!? Rais wa nchi ni mkuu wa nchi na Amiri Jeshi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama huwezi mlinganisha na Mwenyekiti wa Chama!
 
Kumbuka wanaweza kukufungia wewe lakini wao wanaipata.
Sasa kwanini utume ujumbe kwenye site ambayo umeifunga ukiwa na lengo la kufikisha habari na wakati unajua wazi watu hawawezi ku access hiyo site?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…