TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Haya maneno ungewaambia ma CEO wa facebook, Twitter, na google ya kwanini wanahujumu haki ya uhuru wa kujieleza wa Rais wa zamani Trump.Features of dictatorship is controlling freedom of expression
Swali fikirishi hivi mafua nao ni ugonjwa?Hivi mtu kuwa mgonjwa ni dhambi?
Basi na ww ni pimbi kama kila siku unachungulia kwenye page yake naww ni pimbiKigogo ni pimbi tu.
Hii si mara ya kwanza kam-wish namba 1 kifo.
Alishafanya kabla na watu wakaamini lakini chuma kikatokea.
Juzi kasema bilal yuko hoi...kesho yake bilal akatokea kwenye mazishi ya seif.
So kigogo ni pimbi kama mapimbi wengine wanaomuamini.
Mkuu Ramadhani Kingai nikukumbushe siku chache zilizopita Mh. Mbowe na mwenzie walizushiwa kifo, acha huyo amezushiwa ugonjwa (wakati inawezekana kabisa kwamba ni mgonjwa kweli), sijui mmeshawashughulikia wahusika hao waliowazushia kina Mbowe kifo?.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa.
Pia, Kingai amesema wanamsaka mwanaharakati anayejiita Kigogo katika mtandao wa Twitter, kwa tuhuma za kuzusha hofu na uongo kwamba Rais John Magufuli anaumwa.
Umemjibu vyema sana.....Basi na ww ni pimbi kama kila siku unachungulia kwenye page yake naww ni pimbi
Hivi mtu kuwa mgonjwa ni dhambi?
Hicho ni kisiwa, mkoa wa PWANI.Swali fikirishi hivi mafia nao ni ugonjwa?
Hamna mtu pale, alipofiwa na baba yake alipomzika tu akakimbia fasta fasta et ana muogopa jiwe!Yupo sana, kama mna uwezo wa kumkamata akiwa hapa nchini, kimewashinda nini kumkamata aliyempiga Lisu risasi?
Kwan wanalipwa mshahara kwa kaz ganWasaidie kama hawajamkata,
Mwambie aje hapa nchini awe anaposti akiwa ughaibuniunajua yuko wapi? tuanzie hapo
Hahahaha unataka uwachomeshe hahahaha hakuna mtoto humu mkuuUnajua Leo nimeshangaa Sana watu ambao tumekuwa tukiwasiliana kuhusu biashara na maneno wanayoyatoa. Lakini pia nawaza Kama unataka kufanya hayo yote why unaji-engage kwenye business Tena na id ileile?
Anyway
Hayupo tz! Angekuwa hapa angekuwa ananyea debe saa hiiww unajua yuko wapi? maana umeng'ania oh aje tz? unahakika gani kuwa hayuko tz
Duu nilikuwa namaanisha mafuaHicho ni kisiwa, mkoa wa PWANI.
Jeshi letu la polisi liko makini, ila na najua tu hata yule aliyemzushia mrema wa chadema eti kafa a. kusini naye atakamatwa tu.Tanzania kuna raha sana...
Mbowe unamlinganisha na Rais kweli!!? Rais wa nchi ni mkuu wa nchi na Amiri Jeshi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama huwezi mlinganisha na Mwenyekiti wa Chama!Mkuu Ramadhani Kingai nikukumbushe siku chache zilizopita Mh. Mbowe na mwenzie walizushiwa kifo, acha huyo amezushiwa ugonjwa (wakati inawezekana kabisa kwamba ni mgonjwa kweli), sijui mmeshawashughulikia wahusika hao waliowazushia kina Mbowe kifo?.
Sasa kwanini utume ujumbe kwenye site ambayo umeifunga ukiwa na lengo la kufikisha habari na wakati unajua wazi watu hawawezi ku access hiyo site?Kumbuka wanaweza kukufungia wewe lakini wao wanaipata.
Kwanini niwashe vpn kama haijafungwa?Haijafungwa washa vpn...iko poa