Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Yeye alipokuwa ananunuliwa anatembezwa kwa magari ya serikali huko Mbeya na kwingineko alidhani pesa ile inatoka wapi? Huyu sijui tumpe tusi gani kali kali.
 
Kwamba Magufuli alikuwa mpika data hilo wala halikuwa na ubishi. Watu wajinga tu ndio walikuwa wanaamini figure za Magufuli. Sio mara moja au 2 tulikuwa tunasema hapa jukwaani kuwa taarifa za makusanyo ya TRA ni uongo, na kuwa tunafanya miradi kwa pesa za ndani ilikuwa ni uongo pia.
 
Kati ya hizo, 50% kakopa Magufuli peke yake. Nchi ilikuwa inatumbukia shimoni hii aisee chini ya awamu ya 5..... sema Mungu katuhurumia Watanzania!
 
Kumbe ndio maana Wapinzani hawakutakiwa wawepo Bungeni ili wasipate nafasi ya kufichua hivi vitu.
 
Huyu James Mbatia aliwahi mshiriki wa karibu wa Magufuli halafu leo anajitia fyoko fyokoooo
 
Deni la Trilioni 71 ni kidogo sana kwa nchi kama Tanzania cha muhimu pesa hizo zimetumikaje. Marekani mtu mmoja anamiliki hadi Trilioni 400. Umaskini wetu unasababisha kuona deni la Trilioni 71 kuwa kubwa sana wakati siyo. Tanzania tuna rasilimali rukuki tukiacha ubabaishaji, wizi na ujanja ujanja tutapiga hatua kubwa.

Hebu tuambie zilitumika kufanya nini, maana wakati Magufuli anaingia madarakani alikuta deni la taifa kuwa ni 39m+, ndani ya miaka 6 imepanda kwa 31t+. Je miradi aliyofanya inafikia hiyo 31t+? Ifahamike alikuwa anasema TRA walikuwa wanakusanya 1.3+@mwezi.

Magu alikuwa ni kiongozi dhalimu na muovu, na alishurutisha watu wote wakubaliane na uongo wake. Ukweli huu tulijua tu lazima utafahamika hata kwa aliofanikiwa kuwabrainwash.
 
Hebu tuambie zilitumika kufanya nini, maana wakati Magufuli anaingia madarakani alikuta deni la taifa kuwa ni 39m+, ndani ya miaka 6 imepanda kwa 31t+. Je miradi aliyofanya inafikia hiyo 31t+? Ifahamike alikuwa anasema TRA walikuwa wanakusanya 1.3+@mwezi. Magu alikuwa ni kiongozi dhalimu na muovu, na alishurutisha watu wote wakubaliane na uongo wake. Ukweli huu tulijua tu lazima utafahamika hata kwa aliofanikiwa kuwabrainwash.
Wash brain Magu aliiweza
Ingekua vita ya jihad,wapelestina wangetusubiri
 
Wash brain Magu aliiweza
Ingekua vita ya jihad,wapelestina wangetusubiri
Kabisa, halafu huwezi kuamini, hata wasomi ambao wangeweza kung'amua uongo wake, ndio waligeuka wakawa wajinga kuliko wasio na elimu!
 

Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source: Clouds tv!
mama Tanzania
 
Back
Top Bottom