Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Mbatia achachamaa, ahoji Deni la Taifa limefikaje Tsh 71 trilioni? Ataka Serikali iombe radhi

Mbatia unasemaaaa
Serikali iombe radhi tuu
Unatania au ni dharau kwa walipa kodi?
Wewe ni mshirika wao
Kuna watu wanahitaji kuwajibishwa
Leo wanasema bashite asihojiwe how why
Takukuru sijui pccb msiwafanye watu wajinga
bashite sabaya mnyeti kingwa nani sijui biswalo dotto bushi nani sijui mpango mji sijui nani hawa wote hawapashwi kuwa mtaani period! Wana la kujibu
 

Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source: Clouds tv!
Tatizo kubwa la Nchi hii ni huu mhimili wa wananchi basi!! Cha ajabu ni kwamba ndio muhimili ambao unalipana mishahara na posho nono.
 
Na hizi Mpya tulizokopa leo Bank ya Dunia jumla tutadaiwa Trillion 73 na ushee bado riba hapo babaa
 
Hivi vichama vinavyoongozwa na wachagga tabu tupu.

Vyama vimekuwa vitega uchumi binafsi, wanajumbatia vyama ili wapate title za kuvimbia mjini
  • TLP ( Mrema )
  • CDM ( Mbowe )
  • NCCR ( Mbatia )
Si uanzishe chako kisicho na kabila wala dini mzee baba
 
..hii mbatia amuulize MTU wake kafulila ambaye anatumikia serikali hii...na iliyopita..
 
Mama Tanzanua akili kisoda. Utawala wa kishetani wa Jiwe umelisaidia sana taifa kuemgua wanafiki na wazalendo wa kweli. Zamani Ilikuwa rahisi kuamini kwa maneno kuwa Slaa, Lipumba na Mbatia wanapigania maslahi ya taifa kumbe sio kweli. Nyakati zimethibitisha hilo.

Mwendazake amesaidia kutufumbua macho kujua wapinzani wetu wanakuaje bila vyeo 😂 😂 😂 , haya sasa kaongeze nguvu kwenye petition
 
Na yeye asituchangange, yaan wanasiasa wanatuona sisi Wananchi mafala sana ee. Sikuzote watu wanaimba deni la taifa linaongezeka kipindi mwendazake akiwepo hai yeye alikua wapi. Hata km ni kinafiki naweza kumsikiliza yule aliyethubutu kusema wakati JPM akiongoza nchi, sio hawa wa sasa hivi wanajifanya walikua hawajui. Nchi haiwezi ikaendelea kinafiki hvyo
 
Angehoji nini wakati tuliambia TRA wanakusanya matrilioni kwa mwezi na hatukopi
Hiyo kauli ilkua ya kudanganya wasiojielewa, lakini mtu kama Mbatia kwa nafasi aliyonayo alikua anajua ukweli lakini alikaa kimya alafu sasahv anajifanya kushangaa. Aisee naomba akae kimya tu tunamheshimu sana kwa mchango wake sasa amefika mwisho aache wengine watudanganye sio yeye tena
 
Juzi tumeongezea Mbili kwa miradi ambayo hata Haina umuhimu wa kukopa fedha,

Jamani tunaopofanya maamuzi ya kukopa tukope kwa ajili ya miradi itayotuondoa katika utegemezi na sio Kwa lengo la kukopa tu ili kujenga mahusiano mazuri na hizo taasisi za kifedha, tutabakia maskini kwa muda mrefu sana.
 
Juzi tumeongezea Mbili kwa miradi ambayo hata Haina umuhimu wa kukopa fedha,

Jamani tunaopofanya maamuzi ya kukopa tukope kwa ajili ya miradi itayotuondoa katika utegemezi na sio Kwa lengo la kukopa tu ili kujenga mahusiano mazuri na hizo taasisi za kifedha, tutabakia maskini kwa muda mrefu sana.
Chini ya chama chako CCM usitegemee la maana
 
Poleni sana watanzania wenzangu!!!hili deni halilipiki hata kidogo!!!Ilaumiwe kamati kuu ya ccm kwa kuteua lile jina kwa hila!!!!
 

Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?

Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?

Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.

Source: Clouds tv!
Sasa Tanzania itakuwa inaongoza kwa madeni Africa nzima.
 
Dawa ya ganzi ishaisha, sasa Mbatia naye kaanza pata maumivu...
 
Back
Top Bottom