Mbeya: Askari Polisi afariki kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi

Kaziyote amemaliza kaziyote. Ukiiangalia sura yake macho yanaonesha kama mzee wa visungura.
 
Huyo dogo ukute alienda home kwa pisi yake hakuikuta aisee...yaani kakitafuta kifo mwenyewe shida ya wadogo wengi wakishakamatwa wanadhani huko nje hakuna pisi kali kama hiyo tena...
 
Wanaume wenye vimacho kama hivyo huwa vinapenda ngenya sana,
 
itoshe kusema marehemu ni bwege , minyapu ilivyojaa dunia hii Duh hawa madogo wa umri wake Jau sana
 
Kama 2001 ni mashangaz,kuanziaa 90 ni kina nani?
 
Ni mapenz jamani au ni stress?? mm Hawa jamaa nikiambiwa Wana ugumu wa maisha siamin kwa kwel kwa sabab form 4 baada ya stahiki zote anapat lak 7 makato tayar apo na form 6 usisem ukitoa hapo Wana pesa za nje za Malindo escort nk halaf mtu anasem Wana stress za maish Kun watu hawaipat Kam hio na mbon wapo vizur au wao tatzo nn au hawan muda wa kujiekeza
 
Anaanzisha vurugu ili iweje?
 
Alafu alikuwa anakaa na bunduki huyu

Ova
 
Mbona mapenzi yanatutesa sana wanaume kijana mdgo anakatisha future yake kisa mapenzi
 
Hii pisi dogo aliona bora aiche wahuni wairukie...
 

Attachments

  • IMG-20231005-WA0004.jpg
    116.6 KB · Views: 5
Dogo hana akili kabisa.

Kila siku tunawaambia vijana kwamba usipende mwanamke, mwanamke usimpe moyo wako, mpe hela sio moyo...
Kujiua kisa mwanamke ni UFALA WA KIWANGO STANDADI GEJI. wa juu kabisa ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…