Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

Nimecheka kwa nguvu, kweli nimeamini kwa sasa bro umezeeka.
 
USA huwa wako busy na maslahi yao.

Ukiona wana urafiki na wewe huku dunia ya tatu tambua wewe unaweza kuwa sehemu ya wao kupata maslahi yao.
 
Muulize Mwashambwa
 
Nikionaga CCM tu uwa nachafukwa ghafla,ila umeeleza vyema mkuu P.
 
Kwani lini mmeuza hii nchi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…