ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
GSM hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakelele sana na majigambo ya kitotoHahahaaa. Vikizidi wampeleke pale kwa Dr Janabi huenda moyo umeleta shida. 🤣
Ndiyo wanaocheza Leo?GSM hao
Yule msemaji anaongea kama anasoma habariAnakelele sana na majigambo ya kitoto
Refa anatuangusha sanaHivi refa kwanini hawi kama yule wa AFCON.
Amalize game hayo mengine yatajulikana kwa Dr. 😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi refa kwanini hawi kama yule wa AFCON.
Amalize game hayo mengine yatajulikana kwa Dr. [emoji23][emoji23][emoji23]
Watakufa pressuresimbaaa.......GOOOOOOOOOOOOOOOLLLLLLL
aaaaaah natania tu .......MIKIA FC
Npo uwanjani .kamvua kanaongezeka ......but MiKIA FC wanacheza as if wako pungufu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesema hapo juu, waamuzi wanaonekana wazi wazi wako na matokeo yao mfukoni, ngoje uone penati nyingine ya mchongo, au dakika za nyongeza zitakazoongezwaMuamuzi yuko fasta kuita machela daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤝💪🏻💪🏻
simba wajiongeze.Kwa vyovyote matokeo yatakavyokuwa, nyie MPENI REFA FUNGU LAKE... amefanya Kazi yake vya kutosha kabisa. Msimdhulumu ujira wake. Ama pandeni dau atoe red nyingine pengine wakiwa 8 mnaweza pata sare