permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Refa amalize mpira, wengine unaishi mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayele mchezaji wa kawaida tuTukubali tukatae, Simba tunaitaji kusajili mshambuliaji mwenye kaliba ya Fiston Mayele, watu kama Bocco, Kibu na Kagere hawatatufikisha popote
Tafuteni japo droo ya kufutia machozi.Goli lipo... tusikate tamaa
Dada jana walituchawia sana hawa. 🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amalize tu. 🤣🤣 Awache woga.Refa anatuangusha sana
Tatizo la simba kubwa ni timu kukosa plan B.Mara nyingi imeonekana timu ikishazidiwa mwalimu anachokifanya nikulundika washambuliaji au kufanya sub za ovyo ovyo uku mfumo ukiwa ule ule usioeleweka.sasa matokeo yake wachezaji wanagongana gongana tu uwanjani.Wapenzi mashabiki wa Simba kuweni wavumilivu benchi la ufundi linaahidi kufanyia kazi maoni yenu next time.
Ubavu wanao best. 🤣Tafuteni japo droo ya kufutia machozi.
🤣🤣🤣🤣OKW BOBAN SUNZU huwa unasemaga unabanaga n a n i l i u sijui , vipi leo wale wa Mbeya City waendelee kubana au waachie. 😂😂😂😂
Kweli aisee, mpira uishe tu.Dada walituchawi sana hawa jana. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Visingizio fcGsm wanatuhujumu Sana wanasimba MO ametuma dau Kwan refa gsm kaenda tigo pesa kazuia muamala usiende kwa refa
Hujuma.za waz hiz
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
ndio kisingizioNdiyo wanaocheza Leo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapenzi mashabiki wa Simba kuweni wavumilivu benchi la ufundi linaahidi kufanyia kazi maoni yenu next time.
Anajipepea saa hii. 😂😂Anakelele sana na majigambo ya kitoto
Mikia kazi wanayondio kisingizio