Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Wametolewa wenge walijua hii bado ni mapinduzi cup wakasahau kuwa hii ni ligi bingwa anasepa na 500ml. Ivyo ni mguu wa roho ni mguu wa shingo akuna kuremba kazi uwanjani maneno matupu ayavunji mfupa