Mbeya: Kikundi cha kihalifu maarufu kama vibeberu com chabaka wananchi mchana kweupe

Mbeya: Kikundi cha kihalifu maarufu kama vibeberu com chabaka wananchi mchana kweupe

Na baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
Shule nyingi za Tanzania ni kama kambi za adhabu. Unakuta waalim walionuna, muda wote ni amri, watoto wanapigwa hovyo. Sasa kweli saa 12 asubuhi yote mtoto awahi shule kwenda kufanya nini? Ndiyo maana wakikuwa na kuwa viongozi au wataalam, wanakuwa na roho mbaya ya kuiba na kifisadi bila kujali lolote.
 
Back
Top Bottom