Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua tahadhari.....yakikukuta usije kujutaAcheni uongo Mimi nipo ipinda hapa na hakuna kitu kama icho
Itakuwa yupo busy na law schoolNa Mwakyembe yupo kimya tu!!
Saa kumi na mbili kuripoti, saa moja kuhesabu Namba, baada ya hapo usafi wa mazingira, vyoo nk, baada ya hapo saa 1:30 ukaguzi kwa wanafunzi pamoja na matangazo, saa mbili kamili darasani.Shule nyingi za Tanzania ni kama kambi za adhabu. Unakuta waalim walionuna, muda wote ni amri, watoto wanapigwa hovyo. Sasa kweli saa 12 asubuhi yote mtoto awahi shule kwenda kufanya nini? Ndiyo maana wakikuwa na kuwa viongozi au wataalam, wanakuwa na roho mbaya ya kuiba na kifisadi bila kujali lolote.
🤣🤣🤣
Alifungulie shule alifundishe mwenyewe.Saa kumi na mbili kuripoti, saa moja kuhesabu Namba, baada ya hapo usafi wa mazingira, vyoo nk, baada ya hapo saa 1:30 ukaguzi kwa wanafunzi pamoja na matangazo, saa mbili kamili darasani.
Kama unaona watoto wako wanaonewa peleka Toto lako international school, mnajifanya wajuvi kumbe bure tu, hamjui hata mtaala wa Elimu unasemaje, unadhani sisi walimu tunapenda kuamka saa kumi na mbili?? Au Ni kwasabu mtaala na kanuni zinatutaka tufanye hivyo!!
Polen watu wa MbeyaDah ni mbaya
Yaan nimeanza kuuona uzi kabla ya tag yako nikasema hii mbweha ikiona tu lazima initag lahaula nashuka chini naona tag yako 😂
Kyela hakuna baridi Mzee Baba.Na baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
🤣🤣🤣Yaan nimeanza kuuona uzi kabla ya tag yako nikasema hii mbweha ikiona tu lazima initag lahaula nashuka chini naona tag yako 😂
Kyela hakuna baridi. Joto kama Dar es Salaam.Na baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
ao vibeberu wakikamatw na wao wafanyiwe km wanavyfanya waoKikundi cha ubakaji maarufu kama 'Vibeberu.com' kilichopo Kijiji cha Ipinda Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, kimezua taharuki baada ya kudaiwa kufanya vitendo vya ubakaji kwa watoto.
Inadaiwa kikundi hicho kimekuwa kikifanya vitendo hivyo vya ubakaji mchana kweupe hali inayowatia hofu wakazi wa eneo hilo.
Akizungumza mmoja wa walimu wa Shule ya Msingi Ipinda (jina limehifadhiwa) amesema kitendo cha walimu kuwaagiza wanafunzi kuwahi saa 12 asubuhi kushika namba shuleni, kimechochea hatari ya watoto kubakwa, hivyo ameomba wanafunzi waongezewe muda walau saa moja asubuhi.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Erick Komba amesema idadi ya watoto walioripotiwa kubakwa ni zaidi ya watoto 8 ambapo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ili kuwabaini watuhumiwa na kuwafikisha kwenye mkono wa sheria.
Chanzo: Swahili times
Lazimaaa tuu me nilivyo siwapendi WANYAKYUSA 😤Yaan nimeanza kuuona uzi kabla ya tag yako nikasema hii mbweha ikiona tu lazima initag lahaula nashuka chini naona tag yako 😂
Tulikukosea nini lkn?Lazimaaa tuu me nilivyo siwapendi WANYAKYUSA 😤
Kila baada ya nyumba 2 Kanisa na mnalia Kama Mungu wakwenu pekeenu😛Tulikukosea nini lkn?
AsantePolen watu wa Mbeya