Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
😂 Kumbe, si uhame mkoaKila baada ya nyumba 2 Kanisa na mnalia Kama Mungu wakwenu pekeenu😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Kumbe, si uhame mkoaKila baada ya nyumba 2 Kanisa na mnalia Kama Mungu wakwenu pekeenu😛
🤣😂 Kumbe, si uhame mkoa
Akipigwa miti huyu na vibeberu akili itamkaa sawangoja mpaka ubakwe 😎😎
🤣🤣🤣Itakuwa ni vidume
Napenda tu Kuona udongo wa nyongeza wa Wadada wa Mbeya.😂 Kumbe, si uhame mkoa
🤣🤣😯Akipigwa miti huyu na vibeberu akili itamkaa sawa
Shida iko wapi wakubwa? Si wanafanya vitendo hivyo vya uhalifu mchana kweupe? Kwa hiyo wanaonekana mnawaona au mnashuhudia wakitenda uvunjifu wa sheria. Kwa nini msimalizane nao mnasubiri upelelezi wa Polisi? Mbona hawatendi wakiwa na bisibisi, kisu wala panga au rungu na nondo? Kha, eti mtoto wa1, mtoto wa 2,mtoto wa 3... hadi mtoto wa 8 nyie bado mmekalia kutunza tu mahesabu. Amkeni, jipangeni ifike mahali na hao vibeberu mzazi wa "kibeberu" aelekezwe kwenda kumtambua kibeberu wake hospitali(Mortuary) au Kituo cha Polisi. Msiogope kwani walianza bila sheria na wanatakiwa waishe bila sheria. Kwani panyarodi walifanywa nini? Unawasikia tena? OK. Kazi kwenu - Kazi iendelee.Kikundi cha ubakaji maarufu kama 'Vibeberu.com' kilichopo Kijiji cha Ipinda Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, kimezua taharuki baada ya kudaiwa kufanya vitendo vya ubakaji kwa watoto.
Inadaiwa kikundi hicho kimekuwa kikifanya vitendo hivyo vya ubakaji mchana kweupe hali inayowatia hofu wakazi wa eneo hilo.
Akizungumza mmoja wa walimu wa Shule ya Msingi Ipinda (jina limehifadhiwa) amesema kitendo cha walimu kuwaagiza wanafunzi kuwahi saa 12 asubuhi kushika namba shuleni, kimechochea hatari ya watoto kubakwa, hivyo ameomba wanafunzi waongezewe muda walau saa moja asubuhi.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Erick Komba amesema idadi ya watoto walioripotiwa kubakwa ni zaidi ya watoto 8 ambapo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ili kuwabaini watuhumiwa na kuwafikisha kwenye mkono wa sheria.
Chanzo: Swahili times
Hawa vibeberu inabidi wahenyeshwe wakidakwaShida iko wapi wakubwa? Si wanafanya vitendo hivyo vya uhalifu mchana kweupe? Kwa hiyo wanaonekana mnawaona au mnashuhudia wakitenda uvunjifu wa sheria. Kwa nini msimalizane nao mnasubiri upelelezi wa Polisi? Mbona hawatendi wakiwa na bisibisi, kisu wala panga au rungu na nondo? Kha, eti mtoto wa1, mtoto wa 2,mtoto wa 3... hadi mtoto wa 8 nyie bado mmekalia kutunza tu mahesabu. Amkeni, jipangeni ifike mahali na hao vibeberu mzazi wa "kibeberu" aelekezwe kwenda kumtambua kibeberu wake hospitali(Mortuary) au Kituo cha Polisi. Msiogope kwani walianza bila sheria na wanatakiwa waishe bila sheria. Kwani panyarodi walifanywa nini? Unawasikia tena? OK. Kazi kwenu - Kazi iendelee.
Kwa ukomavu wa tendo hili la ubakaji, Serikali sasa inastahili iongeze adhabu stahiki yaani pamoja na kifungo pia wahasiwe (waondolewe kiume - castration).Kikundi cha ubakaji maarufu kama 'Vibeberu.com' kilichopo Kijiji cha Ipinda Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, kimezua taharuki baada ya kudaiwa kufanya vitendo vya ubakaji kwa watoto.
Inadaiwa kikundi hicho kimekuwa kikifanya vitendo hivyo vya ubakaji mchana kweupe hali inayowatia hofu wakazi wa eneo hilo.
Akizungumza mmoja wa walimu wa Shule ya Msingi Ipinda (jina limehifadhiwa) amesema kitendo cha walimu kuwaagiza wanafunzi kuwahi saa 12 asubuhi kushika namba shuleni, kimechochea hatari ya watoto kubakwa, hivyo ameomba wanafunzi waongezewe muda walau saa moja asubuhi.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Erick Komba amesema idadi ya watoto walioripotiwa kubakwa ni zaidi ya watoto 8 ambapo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ili kuwabaini watuhumiwa na kuwafikisha kwenye mkono wa sheria.
Chanzo: Swahili times
Samahani Chifu, hii pp yako haijakaa kiuchangamfu kama ile inayoonesha Ke akiwa anapelekewa moto kwenye PC na Me huku pakiwa na picha ya MamaKamatani nanyi wainamisheni hao makima.
Ubakaji upo Toka tunatawaliwa na mkoloni au umeanza kipindi Cha mama?Mama nchi imemshinda
Mwambie mwalimu mwambie vizuri akuelewe, kasoma English Medium, Saint Kayumba anazisikiaga tuSaa kumi na mbili kuripoti, saa moja kuhesabu Namba, baada ya hapo usafi wa mazingira, vyoo nk, baada ya hapo saa 1:30 ukaguzi kwa wanafunzi pamoja na matangazo, saa mbili kamili darasani.
Kama unaona watoto wako wanaonewa peleka Toto lako international school, mnajifanya wajuvi kumbe bure tu, hamjui hata mtaala wa Elimu unasemaje, unadhani sisi walimu tunapenda kuamka saa kumi na mbili?? Au Ni kwasabu mtaala na kanuni zinatutaka tufanye hivyo!!
Baridi lipo Uyole au Mama Jon?Kyela hakuna baridi Mzee Baba.
Walimu wa Kyela wameshakupa jibu mkuu Kyela hakuna baridi, baridi lipo Nzovwe, Ivumwe, Teku hadi Mama Jon, Soko Matola hadi Uyole kabla hujakatiza Mafiati km unaelekea MbalaliNa baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
Kyela kuna jotoNa baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
Kwa ujumla wake ni mkoa wa Mbeya a k.a PURPLE CITYUsiseme mbeya, sema kyela