makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
Mheshimiwa ana shughuli nyingiNa Mwakyembe yupo kimya tu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa ana shughuli nyingiNa Mwakyembe yupo kimya tu!!
je kama na ww ni mdau wa vibeberu tutaaminije?Acheni uongo Mimi nipo ipinda hapa na hakuna kitu kama icho
Vipi hawajamfikia Betina Bado??Kikundi cha ubakaji maarufu kama 'Vibeberu.com' kilichopo Kijiji cha Ipinda Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya, kimezua taharuki baada ya kudaiwa kufanya vitendo vya ubakaji kwa watoto.
Inadaiwa kikundi hicho kimekuwa kikifanya vitendo hivyo vya ubakaji mchana kweupe hali inayowatia hofu wakazi wa eneo hilo.
Akizungumza mmoja wa walimu wa Shule ya Msingi Ipinda (jina limehifadhiwa) amesema kitendo cha walimu kuwaagiza wanafunzi kuwahi saa 12 asubuhi kushika namba shuleni, kimechochea hatari ya watoto kubakwa, hivyo ameomba wanafunzi waongezewe muda walau saa moja asubuhi.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Erick Komba amesema idadi ya watoto walioripotiwa kubakwa ni zaidi ya watoto 8 ambapo Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ili kuwabaini watuhumiwa na kuwafikisha kwenye mkono wa sheria.
Chanzo: Swahili times
Kyela hakuna baridi,Na baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
Sasa si Bora vibeberu.com waoe tuuPoleni sana wakazi wa hapo
Hali ya hewa ya kyela ni kama Dar, ule ni ukanda wa ziwa nyasaNa baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
🤣 Dahje kama na ww ni mdau wa vibeberu tutaaminije?
😯🤣Vipi hawajamfikia Betina Bado??
Ww ndo kibeberu mwenyeweAcheni uongo Mimi nipo ipinda hapa na hakuna kitu kama icho
Kuna mtandao wa simu wenye nembo fulani mbaya ndiyo umechangia haya kwa kauli yao ya "cha asubuhi"Akizungumza mmoja wa walimu wa Shule ya Msingi Ipinda (jina limehifadhiwa) amesema kitendo cha walimu kuwaagiza wanafunzi kuwahi saa 12 asubuhi kushika namba shuleni, kimechochea hatari ya watoto kubakwa, hivyo ameomba wanafunzi waongezewe muda walau saa moja asubuhi.
Uweke wazi mkuuKuna mtandao wa simu wenye nembo fulani mbaya ndiyo umechangia haya kwa kauli yao ya "cha asubuhi"