Mbeya: Kikundi cha kihalifu maarufu kama vibeberu com chabaka wananchi mchana kweupe

Mi nadhan wangekuwa wanaviua kwa mstakabali mwanana wa taifa.vinazaliwa na kuongezeka ili visizaliwe tena.
 
Saa kumi na mbili kuripoti, saa moja kuhesabu Namba, baada ya hapo usafi wa mazingira, vyoo nk, baada ya hapo saa 1:30 ukaguzi kwa wanafunzi pamoja na matangazo, saa mbili kamili darasani.

Kama unaona watoto wako wanaonewa peleka Toto lako international school, mnajifanya wajuvi kumbe bure tu, hamjui hata mtaala wa Elimu unasemaje, unadhani sisi walimu tunapenda kuamka saa kumi na mbili?? Au Ni kwasabu mtaala na kanuni zinatutaka tufanye hivyo!!
 
Alifungulie shule alifundishe mwenyewe.
 
ao vibeberu wakikamatw na wao wafanyiwe km wanavyfanya wao
 
Yaan nimeanza kuuona uzi kabla ya tag yako nikasema hii mbweha ikiona tu lazima initag lahaula nashuka chini naona tag yako 😂
Lazimaaa tuu me nilivyo siwapendi WANYAKYUSA 😤
 
Inasikitisha sana, kwasasa maadili kwenye jamii yetu yamepotea kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…