Mbeya: Kikundi cha kihalifu maarufu kama vibeberu com chabaka wananchi mchana kweupe

Mbeya kuna ushirikina sanaa…ukute mashart ya waganga
 
Shida iko wapi wakubwa? Si wanafanya vitendo hivyo vya uhalifu mchana kweupe? Kwa hiyo wanaonekana mnawaona au mnashuhudia wakitenda uvunjifu wa sheria. Kwa nini msimalizane nao mnasubiri upelelezi wa Polisi? Mbona hawatendi wakiwa na bisibisi, kisu wala panga au rungu na nondo? Kha, eti mtoto wa1, mtoto wa 2,mtoto wa 3... hadi mtoto wa 8 nyie bado mmekalia kutunza tu mahesabu. Amkeni, jipangeni ifike mahali na hao vibeberu mzazi wa "kibeberu" aelekezwe kwenda kumtambua kibeberu wake hospitali(Mortuary) au Kituo cha Polisi. Msiogope kwani walianza bila sheria na wanatakiwa waishe bila sheria. Kwani panyarodi walifanywa nini? Unawasikia tena? OK. Kazi kwenu - Kazi iendelee.
 
Hawa vibeberu inabidi wahenyeshwe wakidakwa
 
Kwa ukomavu wa tendo hili la ubakaji, Serikali sasa inastahili iongeze adhabu stahiki yaani pamoja na kifungo pia wahasiwe (waondolewe kiume - castration).
Adhabu hiyo nina hakika itapunguza au kuondosha kabisa tendo hilo la kinýama.
 
Kamatani nanyi wainamisheni hao makima.
Samahani Chifu, hii pp yako haijakaa kiuchangamfu kama ile inayoonesha Ke akiwa anapelekewa moto kwenye PC na Me huku pakiwa na picha ya Mama

Ni mtizamo wangu tu ikikupendeza urudishe ile pp ya awali maana sisi wadau wa JF tulishawahi kuwaeleza hivyo Espy na Extrovert hatimaye walirudisha pp zao za awali... [emoji2960]
 
Mwambie mwalimu mwambie vizuri akuelewe, kasoma English Medium, Saint Kayumba anazisikiaga tu

Beesmom upitie na huku
 
Na baridi ya mbeya unamuwahisha mtoto saa 12 kisa kushika namba ...
Hao walimu ni wapuuuzi kabisa.
Walimu wa Kyela wameshakupa jibu mkuu Kyela hakuna baridi, baridi lipo Nzovwe, Ivumwe, Teku hadi Mama Jon, Soko Matola hadi Uyole kabla hujakatiza Mafiati km unaelekea Mbalali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…