Mbeya: Kikundi cha kihalifu maarufu kama vibeberu com chabaka wananchi mchana kweupe

Vipi hawajamfikia Betina Bado??
 
Dar Kuna Panyaroad
Mbeya Kuna vibeberu dot com
Mwanza vipi?
Arusha vipi?
 
Aiseee
Ipinda kuna mashamba mengi hivyo rahisi mtu kubakwa
 
Kuna mtandao wa simu wenye nembo fulani mbaya ndiyo umechangia haya kwa kauli yao ya "cha asubuhi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…