Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

Hivi Nyerere alikuwa ana nini na watu wanaokula ndizi? Mbona karibu kila sehemu za hao wenyeji kuna kitu aliwatenga?
Nyerere alikuwa hapendi watu wenye akili,alitaka aabudiwe yeye tu. Maeneo ya wala ndizi ndo wasomi wakubwa nchi hii.
 
Napenda Khali ya hewa ila muache ujuaji,wivu na uchawi.
 
umesahau matema beach,samaki mbasa na mbelele,na kijito flani huko ileje cjui,ukikiruka kinapanuka unazama,na ndo kwaheri,,,maji moto kilambo nk
Ndenyelite .....wanasema ukitaka kuruka .lazma utoe chochote kitu..kia expand
 
Hahaha hahaha
 
Mfa maji haachi kutangatanga. Wameona serikali haiko serious kutatua tabu yao wakaamua kupita njia ya mkato. Always shortcut is a very difficult way, more than you can imagine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…