Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Nyerere alikuwa hapendi watu wenye akili,alitaka aabudiwe yeye tu. Maeneo ya wala ndizi ndo wasomi wakubwa nchi hii.Hivi Nyerere alikuwa ana nini na watu wanaokula ndizi? Mbona karibu kila sehemu za hao wenyeji kuna kitu aliwatenga?